Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee shos Sitaki dhambi mie nilitumiwa ile ishu yako mchana mambo yakaingiliana ila nafanya mafekechee nirudishe ASAP venye unajua yule hanaga mbambambaa ni shaaaaappp fastaaaaaaahh!!
Mwenzio hapa mda wote jicho kwa cm yaan, nkiskia kamlio tyuuh nshawahi fasta kutazama,
Nakuaminia huwezi niangushq, wee tena mbna unaweza kuzidisha.
 
Mwenzio hapa mda wote jicho kwa cm yaan, nkiskia kamlio tyuuh nshawahi fasta kutazama,
Nakuaminia huwezi niangushq, wee tena mbna unaweza kuzidisha.
kabisa shos akeee utaona saprize TU mie teinnnaaaa mbona wanijua ! Yani pale pale niliongea na bosi akee fastaaa! Emergency ikatokea dia ila sitakagi madeni mie nairudisha ASAP😘😘
 
Hahahahaaaa!!! Watu wanapepea tu angani na bossi zao cuzoo hadi aunge unge ya saluni woooiiiih!!
Semaa wee mwenzangu, hivi mtoto mkali km mie tukifika California anashangaa mie nabebwa na niggah m1 hao tunasepaaa, na venye nna swagga za kule watamshangaa huyu cuzooo mie kaniokota wapi, Au mie nimekutwa na nn nikaangukia kwa cuzoooo.

shougaaa unanivunja mbavu.
 
Back
Top Bottom