Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Thank you lect!!Get well soon![]()
Thank you lect!!Get well soon![]()
Kabisaa Saint AnneMungu ni mwema sana. Nasubiri kuona hilo kwa vitendo![]()
Aliandika kuhusu nini?




Uvione mara ngapi sasa?Mungu ni mwema sana. Nasubiri kuona hilo kwa vitendo![]()


Kabisaa Saint Anne






Wamemuonea mdogo angu....



Nataka nione mara ya 2 na ya 3 tenaUvione mara ngapi sasa?
Hujaona wengine wanakuja kutolea hasira kwangu..mimi Wala habari Sina.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


Sana.Wamemuonea mdogo angu....![]()
Amenn hallelujah!
Mtu akijipanga mgombane,unamuwezea wapi sasa?
Ni kuignore tu.
I'm born again
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sasahivi tupo busy na kutafuta ada za akina Junia.Nataka nione mara ya 2 na ya 3 tena![]()
Hehehe huyo junia akija...Sasahivi tupo busy na kutafuta ada za akina Junia.
Muda wa kugombana haupo tena..
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sitagombana na yeyote humu.Amenn hallelujah!
I like that![]()












Aje mara ngapi sasa?Hehehe huyo junia akija...

Inapendeza sanaaaaaaaaaa!!
😄😄😄😄😄 .Jirani haya si makusudi sasa. Ubarikiwe kwa surprise, na hongera sana kwa aliyeniwahia🤣🤣🤣🤣🤣
You are missed even more
Uombe asije na visanga akivurugwa ni atakupelekesha mpaka unaoishi nao watakukoma😉!Aje mara ngapi sasa?
Junia anatupeleka mbio watu tunahangaika huku na huko kutafuta hela.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ule mlio umenifanya nisitumie tena browserMimi nimekaa zangu hapa, nasikia kimlio chao kipya cha "chwii chwii", nikakiignore. Nakuja kuingia nakuta vocha zina dk 3, simu nyingine ipo ndani. Nikaishia tu kucheka.
Ila hiyo moment unavyokukuruka kutafuta simu nyingine, kucopy afu unakuja kuona "umefanikiwa"; raha mnooooo

Ndio umeniiga 😀😀Ah wapi
Nimegundua mtu anaweza kukutafuta ili tu mgombane.
Sasa badala kupoteza muda kujitetea au kugombana naye ni bora ukaendelea na mambo mengine.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
It's a wastage of precious time.Inapendeza sanaaaaaaaaaa!!
Ugomvi sio mzuri kabisa!!
Achana na story zake huyoUombe asije na visanga akivurugwa ni atakupelekesha mpaka unaoishi nao watakukoma!