Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha!! Wewe mshana kumbe ni mwanamke. Nilikuwa sifahamu hadi nilipoona hz picha zako.
 


Msalimie Sheikh Al Nahyan mkuu
 
Hivi unajua mimi nimebatizwa nikiwa mdogo. Sema ni maisha tuu yameniweka mbali na ukristo.
Nimeishi na waislam hadi nimeshazoea. Ila mimi ni mkristo japo kanisani ndio hivo
Hujataka tu mm nimeishi na waislam nikiwa 6 yrs mpka natimiza miaka 16 then nikaenda zenji kwa waislam tena. Nineenda madrasa..nimeenda Msikitini ila ukristo sijawahi kuucha. Ilibidi kwa juhudi zangu niitafute imani yangu kwa uhakika japo kipindi hiko pia nilikua naenda kanisani sunday mpka nikahamia misa za wakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…