Mie wanasemaga tyuuh nna uwezo wa kukariri, afu tangu vidudu hiyo had leo,
Nikienda library naweza nisisome ni vurugu mwanzo mwisho, sijawahi kukua, akili ikifyatuka, napita mbele naanza kukata viuno bas watu wote hoi, ntaanza kuzurura na kuchokonoa umbea,
Sasa class naokaa nao karibu wana enjoy balaa, lecturer yupo class anatoa madesa, mie nakata viuno huku nimekaa, siku hyo mtu alicheka kwa nguvu,
Nkajikausha kmyaaaa. Uwiiiiih kwa pract sasa fujo zangu. Woiiiiiih.