Tumeshtuka saivi sis darling, hatulei tena financially peke yake, we provide and protect halafu tukizeeka madogo wanasema "bila mama nisingefika hapa"😂, tumeshtuka. Now we provide, protect and nurse..the!
Trust me ukiwa baba wa aina hiyo; watoto wako watakushuhudia na hata mtu awamezeshe sumu kiasi gani; hawawezi kukugeuka. I'm one of them; nafikiri maisha yangu mengi nimemuongelea zaidi baba kuliko mama.
Nyumbani kwetu toka wadogo tumekua tukila zaidi chapati za maji, za kusukuma kuna waliojifunza wenyewe badae kabisa ukubwani. Ni maamuzi tu kutojua kupika chapati sidhani kama ni kesi.
Trust me ukiwa baba wa aina hiyo; watoto wako watakushuhudia na hata mtu awamezeshe sumu kiasi gani; hawawezi kukugeuka. I'm one of them; nafikiri maisha yangu mengi nimemuongelea zaidi baba kuliko mama.