Nmekumbuka zaman wakat katoto nilikua napenda sana tamthilia zile za kizungu na hamna namna nyingine ya kuangalia zaidi ya kusubiria irushwe kwene Tv, ikifika muda kama kuna vipande vya hovyo hovyo wanatufukuza watoto
unahisi uchungu tamthilia unaitaka lkn wazee wamekazaa. Maisha bhana