Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Ahadi ni deni,, I'm very committed when it comes to my promise

Naomba sasa picha Chief.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwanza unanipeleka sehemu gani kula beer, nitakuwa na jamaa yangu _King, itakuwa si uungwana akose kinywaji, utamsikiliza anakunywa nini.
Wigelekelo naye atakuwa ndani ya nyumba, huyu anakunywa safari ya moto namfahamu, akipata na pakti ya Embassy hana neno.
 
Kwanza unanipeleka sehemu gani kula beer, nitakuwa na jamaa yangu _King, itakuwa si uungwana akose kinywaji, utamsikiliza anakunywa nini.
Wigelekelo naye atakuwa ndani ya nyumba, huyu anakunywa safari ya moto namfahamu, akipata na pakti ya Embassy hana neno.
Unataka uniue na Bill?
Graduate mimi jamani
Hao wengine wapambane na hali zao,wewe Njoo na Mzee wa Emergency landing.


Nitakuleta nyumbani unywe,,
Mimi kukaa Club ni msala.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Tulewe...

Bia hazina mzuka...

IMG_0671.jpg
 
Back
Top Bottom