Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Kwanza unanipeleka sehemu gani kula beer, nitakuwa na jamaa yangu _King, itakuwa si uungwana akose kinywaji, utamsikiliza anakunywa nini.
Ahadi ni deni,, I'm very committed when it comes to my promise
Naomba sasa picha Chief.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wigelekelo naye atakuwa ndani ya nyumba, huyu anakunywa safari ya moto namfahamu, akipata na pakti ya Embassy hana neno.



.


