Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,493
Nipo jiraniJirani upo..
Nipo jiraniJirani upo..
Wengi ni jirani zangu...Manzi zote humu
Ni jirani zako
Inafikirisha![]()
Ko umekataa kuja siyo? Aya bhanh. It is okay
Mwagilia moyo mkuu bia iliozinduliwa sambamba na katiba 1977
Haya maji ya kunywaMwagilia moyo mkuu bia iliozinduliwa sambamba na katiba 1977
Nakupm soon 🙃Ko umekataa kuja siyo? Aya bhanh. It is okay
Huna pa kutunza hiyo funguo?


Ndivyo ulivyofunzwa kwenu kusalimia wakubwa wako hivyo.Sijambo, habari yako?
Hadhwar maut
Mi value
Mi konyagi
Mi k vant
Tupa kule
Kwanza kumbumbu zinapotea
Hata ukiwa na king'ast
Domo linatema
Kama choo za kariakoo
Yanini shida
Shikamoo mkuuNdivyo ulivyofunzwa kwenu kusalimia wakubwa wako hivyo.
Nataka beer mbili na nyama choma, na kwenye beer uonje kidogo, tukitoka hapo twende kidimbwi watu wanapozikia pesa, nasikia kuna misiba ya pesa hapo, ukinichukulia beer zingine mbili Anne sintokusahau hata unyoe upara.Unataka nikaibe eeeh??
Naomba picha basi.
Nitakununulia ya miatano.
Happy birthday beberu
Heee mbona una tungo tata huo wimbo😂😂
😂😂😂 tutaziunganisha nguvu zetu wote…Umeanza
Unajua mimi na [mention]Heaven Sent [/mention] hatuna nguvu za kupigana![]()