Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nataka beer mbili na nyama choma, na kwenye beer uonje kidogo, tukitoka hapo twende kidimbwi watu wanapozikia pesa, nasikia kuna misiba ya pesa hapo, ukinichukulia beer zingine mbili Anne sintokusahau hata unyoe upara.

Tofauti na hapo siweki picha, na ukiniahidi tunatoka tutoke nipo serious.
Sawa nitakununulia bia tatu..
Ila sitaonja.

Naomba picha.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom