Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Umetrend sana tiktok… una beat zuri.. niliuwekaga status, labda hiyo siku hukuwa kwa hewa 😂😂Heee mbona una tungo tata huo wimbo😂😂
Siujui, ni wa nani
Heri ya mfanano wa kuzaliwa
Sawa nitakununulia bia tatu..Nataka beer mbili na nyama choma, na kwenye beer uonje kidogo, tukitoka hapo twende kidimbwi watu wanapozikia pesa, nasikia kuna misiba ya pesa hapo, ukinichukulia beer zingine mbili Anne sintokusahau hata unyoe upara.
Tofauti na hapo siweki picha, na ukiniahidi tunatoka tutoke nipo serious.
Isije ikawa mjukuu wangu ndo katengeneza hii keki. Nitaua mtu mimi wallahi...






Karibu jiranii.....Nakuja jirani..
Nilijua atamalizia na "niletee bia 3 kwanza nipooze moyo". Ila kwa mama mkwe huyu, sidhani kama Iddy atarudi😂😂
Kwema jirani...za muda huu.Karibu jiranii.....
Mchunga huo...Majani gani haya madeko
Sketi inatunaNini itatuna Mama Mchungaji?![]()
Salama salama..Kwema jirani...za muda huu.
Kwenda huko😂😂HS
Nini itatuna![]()
Bia 3 za kusukutulia 🤣🤣Nilijua atamalizia na "niletee bia 3 kwanza nipooze moyo". Ila kwa mama mkwe huyu, sidhani kama Iddy atarudi😂😂
Nimepitwaaa dea.
Itakua sikua na bando, nilipauka😃Umetrend sana tiktok… una beat zuri.. niliuwekaga status, labda hiyo siku hukuwa kwa hewa 😂😂
WeeeeItakua sikua na bando, nilipauka😃
Nitumie niuskilize
Na ahsante.Bia 3 za kusukutulia 🤣🤣
Iddy ameshatekwa.. anakwambia ‘mtoto anajua kusema pole na samahani 😁
Team mama mkwe pale wanaelekea kufeli