Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nataka beer mbili na nyama choma, na kwenye beer uonje kidogo, tukitoka hapo twende kidimbwi watu wanapozikia pesa, nasikia kuna misiba ya pesa hapo, ukinichukulia beer zingine mbili Anne sintokusahau hata unyoe upara.

Tofauti na hapo siweki picha, na ukiniahidi tunatoka tutoke nipo serious.
Sawa nitakununulia bia tatu..
Ila sitaonja.

Naomba picha.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2264160
Karibuni sana
Location حضر موات
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Isije ikawa mjukuu wangu ndo katengeneza hii keki. Nitaua mtu mimi wallahi...[emoji51][emoji51][emoji51]

Japo we ni kijana wa hovyo ila hongera kwa kuongeza mwaka mwingine aisee. Mungu Akujalie na mingine mingi ijayo kwa kadri inavyowezekana [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom