cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Nimenyooka km rulaaaa, sitaki kujibanaaa mie.Wewe ni zaidi ya hatareeeee![]()
Raha ya kula ushibe, sasa kuchokoza mfuko wa chakula tumboni nan anataka?









Nimenyooka km rulaaaa, sitaki kujibanaaa mie.Wewe ni zaidi ya hatareeeee![]()









Hahahaaa!! kweli kabisa!!Nimenyooka km rulaaaa, sitaki kujibanaaa mie.
Raha ya kula ushibe, sasa kuchokoza mfuko wa chakula tumboni nan anataka?![]()
Kwenye kulaa wala sijibani, na sinywi maji, hadi nimalize kila kitu ndo nashushia maji, hapo sasa full kushibaaa, ujanja unakuwepo.Hahaha
Kula usibakishe kitu hiyo ndo kauli mbiu yetu![]()









Ni shule 1,Samahni jamn nje ya mada
Hivi musoma secondary school na musoma technical sec school ni shule mbili tofaut au ni moja??
cuzoo ako anatakiwa alijue hili Ntiluseswa cuzoo ake pita hapa tasazali!
Ah ni vizuriKwenye kulaa wala sijibani, na sinywi maji, hadi nimalize kila kitu ndo nashushia maji, hapo sasa full kushibaaa, ujanja unakuwepo.
![]()
Ah ni vizuri
Mimi nakula kidogo kwa kuamua ila nikienda restaurant ah sibakikishi tu






noumaaahHii imekaa vizuri.Mie Sitaki utani nikibakiza huwa nawaambia wahudumu wanifungie naondoka nacho siachi kitu aisee!!
Tena kakimbia huyoo kisa kuambiwa aweke vocha, kweli California tutaenda?cuzoo ako anatakiwa alijue hili Ntiluseswa cuzoo ake pita hapa tasazali!








Ni moja, mdogo wangu kasoma Advance hapo.Samahni jamn nje ya mada
Hivi musoma secondary school na musoma technical sec school ni shule mbili tofaut au ni moja??
Tena kakimbia huyoo kisa kuambiwa aweke vocha, kweli California tutaenda?![]()


Asante auntNi shule 1,
Ni shule shangaziiii. Usijar.Asante aunt
Kunadogo kwenye selection form 5 kaandikiwa Musoma secondary kwenye joining instructions kaandikiwa Musoma tech sec fomu hiyohiyo mwisho imeandika
Welcome Musoma secondary ikawa inamchanganya
AsanteNi moja, mdogo wangu kasoma Advance hapo.
Kabisa mkuu!Hii imekaa vizuri.
Tena kakimbia huyoo kisa kuambiwa aweke vocha, kweli California tutaenda?![]()