Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,323
Mie sinaga tatizo dear nikikaa kimya limeshaisha hilooo!!😘😘Msamehee mama
Mie sinaga tatizo dear nikikaa kimya limeshaisha hilooo!!😘😘Msamehee mama
Kwa tako hilo sema nimeandamwa na wanaume wa jfHapa nilipo mzabzab ameniandama Kila sehemu. Bora nilale tuu
Wanaolia lia humu mitandaoni? Labda madume ya ng'ombe ndo wanahonga sio binadamu.![]()

mweeeMiaMie sinaga tatizo dear nikikaa kimya limeshaisha hilooo!!![]()

Yaani basi haya matako mnayoyaweka humu sio yenu🤣🤣🤣🔥🔥Wanaolia lia humu mitandaoni? Labda madume ya ng'ombe ndo wanahonga sio binadamu.![]()
Hio cha Mtoto mbona!!Hapa nilipo mzabzab ameniandama Kila sehemu. Bora nilale tuu
So comfyKidogo zinakuwa afadhali eeh?
nilijuuuuta akaishia kuwa mshkaji wangu tu mana hata kukasirika nilishindwa





wakati naingia JF kila madam ya umbea na udaku, ana nitag,. Hasa akipost warumi, utaona "cocastic njoo hapa pacha wako anakuita". KhaaajMarioo - Chibonge.Akipita minyama tuuhiki kibwagizo kuna songi lipo nacho







wakati naingia JF kila madam ya umbea na udaku, ana nitag,. Hasa akipost warumi, utaona "cocastic njoo hapa pacha wako anakuita". Khaaaj


hadi umezoea sasaMwanzoni nlikua nachukia, baadae nkaona nizoee tyuuh.hadi umezoea sasa







Huyu huwez hata kumkasirikia unamzoea tuMwanzoni nlikua nachukia, baadae nkaona nizoee tyuuh.
![]()



Napenda remix,hatari








Sijakataa, wanaume wanaohonga wapo ila ni kama bahati kumpata/kuwapata.Heheee, nikuambie kitu, unamuona yule binti aliyefariki, yule aliyepigwa shaba, mungu anisamehe ni marehemu, kipindi hajaolewa rafiki yangu wa karibu alikuwa anatoka nae, alitaka kumnunulia Prado, ilikuwa bado kidogo sana.
Yule mdada namjua wanaishi CCM kirumba kwa nyuma, kuna siku nilitokaga DSM na gari.........basi ngoja niishie hapo , nilikuwa nacheka sana nyuzi za jf kumhusu, kuna moja mshana akaandika ashakuwa bar maid, eti ni mnyiramba, yule dada ni mrangi wa Dom, baba mrangi, mama mrangi, kuna siku jamaa yangu huyo alimleta DSM na ndege akamrudisha jioni na ndege.
Day amefariki jamaa alini contact whatsapp nikiwa nje akawa anasikitika sana ndipo nikapata taarifa., nilitokaga na gari DSM, kuna siku nilimpeleka hadi kwao na huyo jamaa yangu aliniomba, CCM kwa nyuma.... jamaa alitaka aache prado, kuna watu wanahonga.
Wala asikudanganye dea, ni futuhi tyuuh. Huijui JF wee?Lol.Sijakataa, wanaume wanaohonga wapo ila ni kama bahati kumpata/kuwapata.
Ila kuna watu wana bahati zao. Na shida mwanamke anaweza pata hiyo bahati na hata asiitumie vizuri kwa manufaa yake mwenyewe.






