Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Pastor major one
"In Bushiri's voice "
"In Bushiri's voice "
Ndiwooo!!Eti eeh?? Alisemaje kwani??
NakaziaaHahaha huyo Kaka etu ujue usituangushe basi
Huko sijui kama nitakuja mpaka huu mwaka uisheeDompo utakunywa ukija dar kwa shunie

34 tena?? Hiyo nilivaa nikiwa darasa laaaaa hivi ni la ngapi vile?? Nimesahau eti
We utakuwa unavaa 34.
Mixture of both
Nimeshamwambia, hapa nasubiri tu aifoni yangu![]()
Tunakulaga manfongo styleDaaaa tatizo ushemeji![]()

Mimi jamani yameanza lini hayaHahaha shunie kaniuwa kabisa shemeji yangu yule
Hahahha cha umbea wanguPole mnooo
Shemeji yako kwa nani eti
Wooooiiii 🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️
Ndo mnaanza kupika saa hizi au picha mlipiga muda
Subira yavuta kheri mkweeeMie nasibiri tu mkwe wangu.
Mwe mwe mweeeeeh!! Huu mbona mfurugano![]()