Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Niambie jamani
We cheka tuu jamani!
Niambie jamani
Mbona mimi huniitiNitafurahi kweli tukijamo kwangu wajameni![]()
Sitosegea kwenda kokote yaniKaa hapo hapo usubirie
NdiwoooZa 'chachi' dada au??
Ndo mnaanza kupika saa hizi au picha mlipiga muda
Msosi wa gambe heavy huu😋😋
Yan nikuje uko wanita praiveti meseji sijui masaji nikuambie vizuri.
EeeeehhhhhWine hiyo..
😄😄😄Dada wewe wala hata sihitaji kukuita maana muda wowote ruksaMbona mimi huniiti
Msosi wa gambe heavy huu![]()
Sijui ndo umetoka misaa