Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Location hadi siku unayokujasawa dada,, location sasa..
Umesahau kuwa wewe ni shemeji yangu?Umebana weee hatimaye umeachia.... Sijui nitangaze nia?



Sawa mkweeeeUtakayoona inanifaa mkwe.
Barikiwa sanaNitafanya hivyo Dada...![]()
Shee hakuna bandia hapo. Siwezagi kubandika kucha kabisaaa.Za bandia![]()
Aina gani sasa Glock au 9mm??Bastola zinaonekana kwa mbaliiiiiii
![]()
![]()
![]()
![]()
ushauri wako nimeupokea na nitaufanyia kazi
"In Bushiri's voice "Sawa mkweeee
kaa mkao wa ku receive.
let me hear you say.
I RECEIVEEEEEE
Mmmmh!! Siamini, Disemba nakuja kuuona.Afu sitanii kabisa; nina mlonjo mrefuuuu
😂 😂 😂 😂 basi tu mbwembwe....kuweka utofauti dizaini
Mbona mama, sasa kwa nini ukachanganya hizo herufi baba
Ndicho ninachokiona kwako kabla ya mengine yoteMmhh naona umeamua kunipaka mafuta kwa mgongo wa ben pol??
Sawa mkweeee
kaa mkao wa ku receive.
let me hear you say.
I RECEIVEEEEEE