wapo wengi tu wasio chepuka na wana kila kitu kinacho wezesha kuchepuka. Ukiona mabaya mengi pia mazuri ni mengi. Kuchepuka ni tatizo la akili zaidi na wala sio tamaa kama wengi mnavyo hisi.. Ukiona mwenza anachepuka inabidi akapimwe akili
Uchepukaji ni tabia ya mtu, japo kuna baadhi ya cases nyie ndio waanzilishi, pia si kila mwanamke ni mchepukaji bali yaweza kuwa chanzo ni mwenzie, hii ni win:win.
eti unakuta sababu, chakula siku hizi ni kibaya. Toa mfano, ingia jikoni pika. Then sema mama watoto eeh waona Leo huu msoc nimeumiss sn mwenzio, kwani siku hzi una nini lakini??. Kiutani tuu