Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Geuka nyuma sasa mtoto mzuri nione nguo ilivyokukaa, kwenye kiuno ni 🔥🔥
Geuka nyuma sasa mtoto mzuri nione nguo ilivyokukaa, kwenye kiuno ni 🔥🔥
African Beauty.Black Hair
Black Woman
Mtoto wa Africa
Black is beautiful.View attachment 2260166View attachment 2260168
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





Usiache bana, endelea nazo tuOmbea Mungu zidunde..
Zikikatika tu naacha kusuka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Eeeh hakohako
Ambaye kwao kuna wakubwaBinti wa kwa kina Abiudi.View attachment 2260135
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


Kuna vitenge vizuri viingi,Mmmmh madukani hakitakuwepo. Mie natafuta cha shougaa angu tonniah, kashona koti ile tenge aliifuma wapi sijui daaah.
Kiuno nimekupa ⭐⭐⭐⭐⭐Black Hair
Black Woman
Mtoto wa Africa
Black is beautiful.View attachment 2260166View attachment 2260168
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yupo mkubwa mama..Ambaye kwao kuna wakubwa![]()

Habari ya uzima Heaven SentUsiache bana, endelea nazo tu
Weeeh!Eeeh hakohako

Unadhani naweza kuacha?Usiache bana, endelea nazo tu
,,,mtoto wa mtu anazipambania..usione tu hivi nahangaika 
Nyuma nina kaflat screen matata sana.Geuka nyuma sasa mtoto mzuri nione nguo ilivyokukaa, kwenye kiuno ni![]()
Utakuwa na ka screen si haba, maana hiko kiuno bila screen ya ukweli unatudanganya.
Tumbo lote hili unanipa nyota 5?Kiuno nimekupa
Nywele nakupa![]()

😂😂😂😂🤣🤣🤣 ukitafuta unaeza kipata kile pia cha muda! Halafu ni cha muda kweli kilikua pande 3 mbili nilishona sketi na kishat nilichanganya na shifoni nyeusi saivi hata hazinitoshi kimebaki hiko kikoti ndio kinanitosha!Mmmmh madukani hakitakuwepo. Mie natafuta cha shougaa angu tonniah, kashona koti ile tenge aliifuma wapi sijui daaah.
Nimepigwa pasi.Utakuwa na ka screen si haba, maana hiko kiuno bila screen ya ukweli unatudanganya.
Afu nataka kushona jump suit, ila ya kaptula sio suruali.Kuna vitenge vizuri viingi,
Nenda dukani..utachagua hadi uchoke.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Boss lediiukitafuta unaeza kipata kile pia cha muda! Halafu ni cha myda kweli kilikua pande 3 mbili nilishona sheti na kishat nilichanganya na shifoni nyeusi saivi hata hazinitoshi kimebaki hiko kikoti ndio kinanitosha!
