Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Vipi etiMmhh
Vipi etiMmhh
Sasa hii miwa yangu ya nyongeza naiweka wapii
Nitakumiss wiki ijayo.
Huo mguu mdogo uliuona wapi jamani? Na mimi 41 kuelekea 42Vitakutosha? Najua kamguu kako kadogo. Namba 41 hicho.
AmeinnnDada kweli naziona jitihada zako....Sijutii kupata dada bora kama wewe![]()
Yaani acha tu.Tunaotumia tecno wereva tunapata taabu sana



Mie kapole siku zote, hata Hazard CFC shahidi
NdiwoooIli akupate au??
Selfika ya dada pasua kichwa iko wapi?![]()
Si ulisema ac zimekauka?Ngoja ninunue bando kabisa la nxt week
Fanya hata kunitumia PM tafwadhaliKwamba yangu ilikupita?


.. Mimi sishindi Sana humu.Njooni mchukue basiSio vizuri auntie.
Kitoto kiongo hiki.Huo mguu mdogo uliuona wapi jamani? Na mimi 41 kuelekea 42
Abeee