😄😄😄😄 Mie mwenyewe ilinitokea nimechukuw pisi kali CBE hao club, mtoto kila saa yupo na lijamaa.. nika mind naambiwa huyo kaka.. nikaondoka kichwa chini.. 😄😄😄.. mdada akarudi kesho jioni kutoka kwa kaka yake.. Bwana Athumani sio Mungu, yule dada akaja miaka zaidi ya 10 nikakutana nae anatafuta nyumba na akakutanishwa na father house mie mwenyewe mbona alifurahi 🤣🤣🤣