Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tutoe ule mkobaWoooyooooooooooooo!! Kiuno nyiguuuu!!
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tutoe ule mkobaWoooyooooooooooooo!! Kiuno nyiguuuu!!
🤣🤣🤣🤣Wachaga wa machame wamejaaliwa sana migu ya bia.
Wako kama Wanyakyusa
Weeee kumbe!!!! Hongera yao sana aiseeehhh kumbe Ndiomana hata humu naona maguu bia tu kasoro mie na shos tu 🤣🤣🤣🤣!!Wachaga wa machame wamejaaliwa sana migu ya bia.
Wako kama Wanyakyusa
Wake na watani wako sio?🤣🤣🤣🤣
Unawasema wake zetu mkuu!
Mama J leo umekunywa kinywaji gani?😄😄😄Weeee kumbe!!!! Hongera yao sana aiseeehhh kumbe Ndiomana hata humu naona maguu bia tu kasoro mie na shos tu 🤣🤣🤣🤣!!
Lol nahisi nishazifuta duuhh!!
hahahahaaaa!!😂😂😂🤣Mama J leo umekunywa kinywaji gani?😄😄😄
Hahaha...Wake na watani wako sio?
Hebu toa ushuhuda...kama ilivyoandikwa ( neno na lithibitishwe na mashahidi wawili)😂😂
Nilienda kunywa majiSaint Anne upo???

Tuache utani Wamachame wameumbika mno...bahati mbaya wamepewa jina baya sanaHahaha...
Tumekubali watuue, watuue tu! Miguu ya bia kweri kweri mkuu!
Baki hapohapo usitoke!
Top ya wachagga ni marangu mkuu, wana kila kitu!Tuache utani Wamachame wameumbika mno...bahati mbaya wamepewa jina baya sana





wallah, sijui imekaaje yaan.Niwache nguva yanguwallah, sijui imekaaje yaan.

Wangoni na Guu wapi na wapi? Wangoni ufupi na weusi tiii km makaa ya mawe yalokosa soko la kimataifa.Weeee kumbe!!!! Hongera yao sana aiseeehhh kumbe Ndiomana hata humu naona maguu bia tu kasoro mie na shos tu!!







madam I am here!!Hustler one katibu come this side pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!