Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habari za usiku selfika family!
Kiukweli Nawamis na kuwakumbuka sana sana nivile tu nimebanwa na majukumu kidooogo ya kuweka au kwa hawa vijana wetu waliomaliza May! . Lakini break nachungulia chungulia nakutana na Salamu zenu nyingi sana za kunimiss kwa namna moja ama nyingine nami nawakumbuka sana wapendwa mbarikiwe sana!

Anyawys lengo la kuwasumbua hapa ni kutaka kuwajulisha kuwa kwa sasa nimebadili username kutoka " Mahondaw" to" Antonnia" kama inavyojionesha hapo!

Nina kama wiki moja tangu nibadili username hii sasa kwa leo jioni Katika kuja kuwasabahi ndugu zangu selfika nikakutana na salamu za kukumbukwa kutoka kwa mpendwa Nuzulati Katika kusoma soma pages nikaona mahala Kelsea amesema anashangaa anaona kuna mtu anatumia my former username Mahondaw ila alipomchunguza akagundua sio mimi . Then mimi pia nikafuatilia kuprove kama ni kweli na kugundua kuwa ni kweli my former username is in use but to another person!

So please wapendwa kuanzia sasa sihusiki/sitahusika na kitu/ content yoyote ambayo itapostiwa kwa hio username ya Mahondaw!

Katika kufatilia inaonekana huyu mtu anapendelea sana sana nyuzi hizi:
1.Likes
2.Vituko mitandaoni
3.Picha za warembo
Pia huu uzi wa selfika ni mdau sana ukiangalia posts za nyuma utamuona!

Sijajua lengo lake ni kunichafua / kutapeli kutumia hilo jina or for what seriously I don't know wapendwa but I smells something fishy in here!
So nimeona ni vema nika wa alert / kuwapa precautions mapema wapendwa wangu!
Na Avatar niliokua naitumia kwa Mahondaw hio hapo chini nimeifanya hivo makusudikally
Hii post nimeona niiweke tu usiku huu sasahivi ni saa 00:52 am kabla hakujakucha huwezijua ya waja!


Asanteni sana

Nawasilisha

Mshana Jr Nuzulati Kelsea Mjep cocastic Glenn Shimba ya Buyenze Strawbella mtu chake Yna2 sophy27 Hustler one Ngariba1 Christine1 Wigelekelo Katriel tamsana spidernyoka Saint Anne _King Heaven Sent genetic mbalizi1 CAPTORHINOMORPHS My Sons Legacy na wengineoView attachment 2255849View attachment 2255852View attachment 2255853View attachment 2255854View attachment 2255855View attachment 2255856

Pole sana madam...

Nimefurahi umerudi kujumuika nasi tena maana nilijiuliza umekumbwa na nini kwakua si kawaida yako kukaa kimya kwa muda mrefu sikupata jibu...

Karibu tena na nikutakie heri katika kazi ya kuwapa vijana wetu

Tunasubiri kwa hamu foto mpya
 
IMG_0839.jpg
 
Habari za usiku selfika family!
Kiukweli Nawamis na kuwakumbuka sana sana nivile tu nimebanwa na majukumu kidooogo ya kuweka au kwa hawa vijana wetu waliomaliza May! . Lakini break nachungulia chungulia nakutana na Salamu zenu nyingi sana za kunimiss kwa namna moja ama nyingine nami nawakumbuka sana wapendwa mbarikiwe sana!

Anyawys lengo la kuwasumbua hapa ni kutaka kuwajulisha kuwa kwa sasa nimebadili username kutoka " Mahondaw" to" Antonnia" kama inavyojionesha hapo!

Nina kama wiki moja tangu nibadili username hii sasa kwa leo jioni Katika kuja kuwasabahi ndugu zangu selfika nikakutana na salamu za kukumbukwa kutoka kwa mpendwa Nuzulati Katika kusoma soma pages nikaona mahala Kelsea amesema anashangaa anaona kuna mtu anatumia my former username Mahondaw ila alipomchunguza akagundua sio mimi . Then mimi pia nikafuatilia kuprove kama ni kweli na kugundua kuwa ni kweli my former username is in use but to another person!

So please wapendwa kuanzia sasa sihusiki/sitahusika na kitu/ content yoyote ambayo itapostiwa kwa hio username ya Mahondaw!

Katika kufatilia inaonekana huyu mtu anapendelea sana sana nyuzi hizi:
1.Likes
2.Vituko mitandaoni
3.Picha za warembo
Pia huu uzi wa selfika ni mdau sana ukiangalia posts za nyuma utamuona!

Sijajua lengo lake ni kunichafua / kutapeli kutumia hilo jina or for what seriously I don't know wapendwa but I smells something fishy in here!
So nimeona ni vema nika wa alert / kuwapa precautions mapema wapendwa wangu!
Na Avatar niliokua naitumia kwa Mahondaw hio hapo chini nimeifanya hivo makusudikally
Hii post nimeona niiweke tu usiku huu sasahivi ni saa 00:52 am kabla hakujakucha huwezijua ya waja!


Asanteni sana

Nawasilisha

Mshana Jr Nuzulati Kelsea Mjep cocastic Glenn Shimba ya Buyenze Strawbella mtu chake Yna2 sophy27 Hustler one Ngariba1 Christine1 Wigelekelo Katriel tamsana spidernyoka Saint Anne _King Heaven Sent genetic mbalizi1 CAPTORHINOMORPHS My Sons Legacy na wengineoView attachment 2255849View attachment 2255852View attachment 2255853View attachment 2255854View attachment 2255855View attachment 2255856
Hello bosiledi, glad to hear from you.

Ni Jana tu tulikuwa tunadiscuss; yaani sasa hivi kama huna mpango wa kubadili ID yako permanently, usibadili tu. Unaweza ukasema ngoja nibadili kwa mwezi huu, then next month ntairudia ID yangu; ukirudi unakuta imeshanyakuliwa. Nimesoma hapo kwamba mahondaw new kabadili tena; kama unaihitaji ID yako ya zamani, irudie mapema then tulia nayo, au kama utastick tu na Antonnia; well and good.
Otherwise pole na hongera kwa majukumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom