Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijui hata nimepikia unga upi,
Huko kwenye aina za unga nipo mweupe.

Kesho nitajaribu kachori ulizonifundisha jana.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Itakuwa huu wa all purpose flour
Ndo tunanunua dukani
Huo wa Ppf mzuri kwa cake na pastries

Anha haya dear .. ni ya haraka chap umemaliza .
Na havinyonyi mafuta kama bagia za dengu .
 
Itakuwa huu wa all purpose flour
Ndo tunanunua dukani
Huo wa Ppf mzuri kwa cake na pastries

Anha haya dear .. ni ya haraka chap umemaliza .
Na havinyonyi mafuta kama bagia za dengu .
Nitautafuta.

Ila huu pia unenitolea keki nzuri

20220609_220648.jpg



Ngoja nianze na kachori kwanza
 
Back
Top Bottom