Selfika na JF: Snap it. Show it

Msisahau kuna wanafunzi pia na watu wenye hali tofauti tofauti; mwingine ni me ila ana uhitaji kweli
JF haina mwanaume mwenye uhitaji. Kila me humu ana gari na maisha mazuri, kazi za maana; na kilichobaki ni kula bata tu na kupelekea moto mbususu za pisi kali.

Vocha waachiwe mabinti pulizi!
 
Wapo, anaona kadharaulika kwamba yeye hajui kazi. Nina rafiki yangu alinishirikisha mpenzi wake analipua lipua tu akamueleza naomba unifanyie hivi na hivi bwana akanuna eti amemuonyesha dharau hajui kazi
Duh! kuna watu wanateseka.

Matokeo yake mdada kama huyo akikutana na mtu anaemsikiliza. Anamuacha jamaa.

Halafu jamaa anaanza kujiuliza "tatizo nini mbona show huwa napiga ya kibabe mpaka anaomba poo"




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo, anaona kadharaulika kwamba yeye hajui kazi. Nina rafiki yangu alinishirikisha mpenzi wake analipua lipua tu akamueleza naomba unifanyie hivi na hivi bwana akanuna eti amemuonyesha dharau hajui kazi
Huyo boya alikuwa last born labda...

Upate binti anayekurahisishia kazi halafu unune kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…