Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Ntakupigia baadaye kukusalimiaRudisha![]()
Ntakupigia baadaye kukusalimiaRudisha![]()
😂😂😂😂Aah ningekuungia cha mwezi kabisa, nikajua wamekunyima hao wasukuma wako(namuheshimisha kaka). Hizi za humu najisikia raha tu ile nakukuruka kuingiza harakaharaka.
Atakua kidume tu, kwa kugombania vocha za wadada wapo vizuriSijui atakuwa nani huyo

Aah Kelsea si kashakupa ushuhuda hapo. Afu wasiochat hapa, ndiyo wanakuwa wa kwanza kuona vocha 😂😂😂Jaribu huenda bado badae basi 😬😬
Karibu mamiiNtakupigia baadaye kukusalimia

ana dhalilisha uanaume wake 😬😬😬Atakua kidume tu, kwa kugombania vocha za wadada wapo vizuri![]()
kwakweli!! Sasa kuna muda unakuta mkaka anajisifuuuuuuu maneno mengiiii blah blah kibao kuja 6*6 toba yaillahi!!🙆🙆🙆🙆 ni empty set!!Mnapitia mengi![]()
and still mnavumilia,, mtafika paradise mmechoka sana![]()
Faza unasambaza upendo wa agape
Na hawasemi ahsanteAah Kelsea si kashakupa ushuhuda hapo. Afu wasiochat hapa, ndiyo wanakuwa wa kwanza kuona vocha![]()
Nifungulie PM nikutumie direct yaani 😁😁Aah Kelsea si kashakupa ushuhuda hapo. Afu wasiochat hapa, ndiyo wanakuwa wa kwanza kuona vocha 😂😂😂
Mnooana dhalilisha uanaume wake![]()
Watoto wazuri wakiwa na ma bundle kidogo wanajibu text zetu , hapa najibiwa PM hatari 😁😁😁😁Faza unasambaza upendo wa agape
Voda wadwanzi hizo issues za kuexpose namba 5 za mwisho. Kama mtu alikuwa anakuhisi afu umeshukuru kupata vocha, anaunga codes fastaaa. Mimi naamini mtu akipata anashukuru, hata kama ni kimoyomoyoNa hawasemi ahsante
Kumbe ni mbwinu eeeehWatoto wazuri wakiwa na ma bundle kidogo wanajibu text zetu , hapa najibiwa PM hatari 😁😁😁😁
Salama lakini
Saikolojia ya mwanaume....hii hapa...kwakweli!! Sasa kuna muda unakuta mkaka anajisifuuuuuuu maneno mengiiii blah blah kibao kuja 6*6 toba yaillahi!!ni empty set!!
unabaki TU![]()




Salama boss kilinitait kihoma hapa Kati lakini Sasa nimerudi kwenye reli,,watoto wazuri wanahitaji care Safi SanaWatoto wazuri wakiwa na ma bundle kidogo wanajibu text zetu , hapa najibiwa PM hatari
Salama lakini
Niko stendibai Mama Mchungaji.Nipo serious. Ngoja nitoe maelezo kwanza kwa Baba Mchungaji, ili aniruhusu kuja PM kwako
NimepitwaSante![]()
Unawajua watoto ambavyo anaweza akagoma kula pilau nyumbani, afu akaenda kwa jirani kugombea ugali dagaa na wenzie? Honestly napenda hekaheka za kugombea vocha humu; hadi inaingia "umefanikiwa kuongeza" raha mnoooo. Ahsante sana baba PastaNifungulie PM nikutumie direct yaani 😁😁