Asante bro...Kaka kale brisket ntakuja kulipa![]()
Wizo picha huioni au nikutumie bundle?Umekurana na matapeli
Lkn sio wote matapeli
Mweh mie mwenyewe nachukua elimu hapa ndio mtuelezea tumeze points banaHuyu Surbi anaonekana mwalimu mzuri😀😀😀 kupitia kwake huenda leo jioni asante zikaongezeka..
Leo umelamba buku 5 ya msukuma unavimbaaa😂😂Wizo picha huioni au nikutumie bundle?
Msihofu kabisa mimi nitawatetea daima.Watu tunatofautiana, uwepo wako unatupa faraja vipotabo![]()

Sante

hahahahahahaUkijua bembeleza unapiga sana hawa watu
Kejeli kivipi madam, hapa najifunza ujuwe..wewe niambie, kinatumikaje?Naamini hii ni Kejeli mkuu najua unatania😎😎😎!!
Umeipata eeh boraSante![]()
Hizi vocha nikiwepo hapahapa huwa zinanipita. Nikiwa mbali, Roho Mtakatifu ananiita😂😂😂
Umewahi zote au mojaSante![]()
Say whaaaaaatMmmmmmmmmmmh ni wapi mimi nimevisimanga? Tumesema tu nguvu za kuhandle wanawake wengi hamna.

Hahaha nimejikuta tu naandika hivo mwenyewe hata hata sijui😎Kejeli kivipi madam, hapa najifunza ujuwe..wewe niambie, kinatumikaje?
Aah ningekuungia cha mwezi kabisa, nikajua wamekunyima hao wasukuma wako(namuheshimisha kaka). Hizi za humu najisikia raha tu ile nakukuruka kuingiza harakaharaka.Leo umelamba buku 5 ya msukuma unavimbaaa😂😂
Nimetuma bwanaa labda km haxijafika
vi mtu kama wewe naweza ku vi handle abood nzima na visijue hata kujuana na vyote vikapata doseMmmmmmmmmmmh ni wapi mimi nimevisimanga? Tumesema tu nguvu za kuhandle wanawake wengi hamna.
Aisee tena watu wenye nguvu chache ndiyo wanaongoza kwa kuchepuka na kuwa abusive kwa wake zao. Ile kuchepuka na kupewa sifa za uongo na michepuko kunaboost their low self esteem. Mke asimdharau so anampangia michepuko.
Sasa ukute mke ndiyo unapenda masifa, kitu kidogo my hubby afu mchepuko unajua jinsi shughuli ya bwana ilivyo fa fa fa; ukipita unavyochekwa maskini
Tunazo, sema huwa tunawazoom tu vile hatutaki mashindano na sehemu zenye heshima kuu kwetu😀😀🤣Mmmmmmmmmmmh ni wapi mimi nimevisimanga? Tumesema tu nguvu za kuhandle wanawake wengi hamna.
Nimefanya research, nakutumia PMUna uhakika na hili?
Umelifanyia utafiti?
Kwamba wenye nguvu chache ndo wanaongoza kwa kuchepuka? That's a weird sweeping generalization...Unajijua we ni mtu wa kigoli kimoja na chenyewe pengine kwa mbinde halafu uwe na michepuko? Ya nini sasa? Ili iweje?
Bila kuielewa saikolojia ya mwanaume (ambayo ni rahisi sana) kwa hakika shida na malalamiko haya hayatakuja yaishe kwenye ndoa ama kwingineko!
Sad!
Mnapitia mengiAkhsante sana mkuu! Mpaka uwe na wakukusikikiza sasa wengine akishawaza chini tu hasikii la kuambiwa ni kumrukia tu mwanamke na kumfakamia hana hata romance![]()


and still mnavumilia,, mtafika paradise mmechoka sana