Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ondoa emog hio bana
Nimepunguza

Nimeachia komwe langu kidogo
Screenshot_20220607-152516.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Woiii
Nifundishe

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Okay dear

Mahitaji
Ngano robo
Maji
Chumvi
Viazi
Rangi au kama mimi hapo nimetumia binzari ya njano

Nyongeza
Mimi nimeweka pilipili manga hapo
Kitunguu maji swaumu na hoho kidogo

Kupika sasa
Menya viazi vyako then oshe baada ya hapo vitenge jikoni vichemke huku ukiandaa viungo vyako . Angalia visipondeke sana (nimechemsha vitunguu pamoja na viazi , chumvi )

Baada ya viazi kuiva , epua viazi vyako vichuje baada ya hapo Anza kuviponda mpaka vilainike . Vilainike lakini sio sana ile

Andaa ngano yako weka maji hapo. Anza kuchanganya maji na ngano ...hakiksha mchanganyiko huo ni mzito kiasi usiwe ule mwepesi ... Baada ya hapo weka rangi yako unayoipenda mfano nimeweka binzari ya njano
Koroga mchanganyiko wako huku ukiandaa mafuta yako jikoni yapate moto

Chukua viazi ulivyoponda then weka kwenye ule mchanganyiko wa ngano wa maji hakika kiazi chote kinapata ile ngano geuza kiazi upande zote ngano ishike ili isiweze kuachia wakati kupika

Then weka kiazi chako kwenye jiko hakikisha usigeuze Hadi uone chini kimeiva ndo ugeuze baada ya hapo epua ukiona vipo tayari .
Hapo umemaliza

.
 
Okay dear

Mahitaji
Ngano robo
Maji
Chumvi
Viazi
Rangi au kama mimi hapo nimetumia binzari ya njano

Nyongeza
Mimi nimeweka pilipili manga hapo
Kitunguu maji swaumu na hoho kidogo

Kupika sasa
Menya viazi vyako then oshe baada ya hapo vitenge jikoni vichemke huku ukiandaa viungo vyako . Angalia visipondeke sana (nimechemsha vitunguu pamoja na viazi , chumvi )

Baada ya viazi kuiva , epua viazi vyako vichuje baada ya hapo Anza kuviponda mpaka vilainike . Vilainike lakini sio sana ile

Andaa ngano yako weka maji hapo. Anza kuchanganya maji na ngano ...hakiksha mchanganyiko huo ni mzito kiasi usiwe ule mwepesi ... Baada ya hapo weka rangi yako unayoipenda mfano nimeweka binzari ya njano
Koroga mchanganyiko wako huku ukiandaa mafuta yako jikoni yapate moto

Chukua viazi ulivyoponda then weka kwenye ule mchanganyiko wa ngano wa maji hakika kiazi chote kinapata ile ngano geuza kiazi upande zote ngano ishike ili isiweze kuachia wakati kupika

Then weka kiazi chako kwenye jiko hakikisha usigeuze Hadi uone chini kimeiva ndo ugeuze baada ya hapo epua ukiona vipo tayari .
Hapo umemaliza

.
Nimenote!
 
Back
Top Bottom