ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,702
- 3,553
Kuna kitu nimehisi 😂
Kuna kitu nimehisi 😂
Usijali hilo ukipata protein zangu tukiongeza na squats litapatikana tuu





Naja kukuchukua mrembo wangu.
Na wewe pia😘
Jamani 🤣🤣🤣Kuna kitu nimehisi 😂
Shangazi 😊😊 kwanini niongope shangazi wangu au hadi niangushe kilio cha paka alipigwa baada ya kula chakula cha usiku chote 😀😀😀🤣🤣😂😂😂😂😂😂!! mi kijeba ujue mjomba unanidanganyaje kwa zawadi lakini mjomba 🤣🤣🤣😂!!
Kweli Hata sina jipya leo ankoo wetu!!
Aah haya mambo tutaongea chemba banaaaPesa kiasi gani?
Milioni ngapi?
sio ya kuweka hadharani😉😉😉😉 Shangazi au basi ngoja nikanunue vocha nije pm 😅😅😅 wajomba hapa tunatoa toa machoMisemo hio mjomba Mwenzio kiswahili nilifeligi mjomba 😉😉!! Unamaanisha nini mjomba!
hahahaha.mbn unanicheka rafikiHhahaa!!
dah leo sio zali.lkn nafurahi km mko salama
Mikono juu kama mateka eh?Aliepo macho anyoshe mkono!! 😳
Bila selfie hatukubali ulale..
Alie macho anyoshe mkono!!![]()

Nipo mamaAlie macho anyoshe mkono!!![]()

Alie macho anyoshe mkono!!![]()

Shangazi nipo getiniFanya hivo mjomba hapa mie kukimbizana na Vijana siwezi kabisa madogo wana speed balaa!!
hahhahahh......habari yangu ni nzuri sana sijui ww.nani huyo alizusha?na huyo swalliah ndio naniMgeni/Mwenyeji
Huyooo
Habari yako toto zuri
Eti kuna mtu alizusha
Wewe ndio Swalliah