spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Yeah mkuuNa huna kitumbo... Endelea ku wait mkuu,, hakuna ubaya wowote...
Your Life, your choice.....


nimechekaMke naweka ndani kabisa...huyo miaka 40 naona hatakiwa na mpango wakuwa na watoto ndio mie nataka huyo tutulie tutuzane basiila tu usimchezeee kajitunza katunzika 🥸🥸🥸
Haya ndio maneno sasa 😃😃Mke naweka ndani kabisa...huyo miaka 40 naona hatakiwa na mpango wakuwa na watoto ndio mie nataka huyo tutulie tutuzane basi
Alafu sii umeona mrembo hana kitumbo kabisaHaya ndio maneno sasa 😃😃
Sasa wee ndio unanifaa. Njoo tuishi maisha bwana. Yaani ni bata na kisafiri tuu


mzabzab
Yani ni 🔥🔥🔥 kama unajua unajua hapa yaani 😀😀😀Alafu sii umeona mrembo hana kitumbo kabisa
Muulize ,ye ni msukuma?Inatosha, hiyo mkuu boss![]()


Njoo bwana sasa jamani sii tunatunzana mremb. Yaani no kids no headache sie kila wilend tunajirusha tuu . Dunai ndio kama kariakoo tuu
Shangazi fanya namna mjombaa amekuja kusabahi 😁😁😁Hhaahaaaa hio sijui nimeimisplace wapi hata huwa siivai sana mkuu mpaka niisake ilipo leo sijaiona asee;
Aaah! Shangazi sio kweli 😁😁😁 wajomba umetukusanya hapa alafu unanatiachaje ... alafu kwanza nazawadi yako nimekutana na Germany Shephard getini wamenitoaSina jipya mjomba wangu !!
Aise wnglish figure safi kabisa. Hongera sana kwa kutokuwa na tumbo....keep it upHaya mzabzab kalale na hii
Kumbe hata tumbo hupendiView attachment 2248592
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise wnglish figure safi kabisa. Hongera sana kwa kutokuwa na tumbo....keep it up
ngoja niongeze traaako


Na umepitwa mjedaWazima humu wadau.kn selfika yoyote imenipita?
Usijali hilo ukipata protein zangu tukiongeza na squats litapatikana tuu