Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
HBD boss wa hapaHappy born day2 me Jr!View attachment 2246727
HBD boss wa hapaHappy born day2 me Jr!View attachment 2246727
hii hapana nakuja na kidumu cha petrol kinatutoshaaaNjoo na hii 🔫ili naamini zaidi😬😬
Nipate 🤰🏾Jingine🙄🙄🙄🙄 juzi ukupoke simu yangu moja nikatuma message eeh.. so missed call moja azabu yake nini
😬😬😬🤭 eeh mama kijacho si tunajaza dunia au unapingana na mpango kujaza dunia ebu kuwa mpole naja nyumbani sasa hivi nipo kona ya pili hapaNipate 🤰🏾Jingine
Mkuu umeona big boy sasa.. weee tukae kusherehesha tu hapaaa.. sie wetu kuku wa kienyeji pale msamvu kwa down 😅😅Aisee warembo wa jf naona utawapelekea moto balaa...mzeya kisu cha warembo unacho🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee ngoja niwahi police maana mna chukulia poa uhai wa mtu😩😩hii hapana nakuja na kidumu cha petrol kinatutoshaaa
hii hapana nakuja na kidumu cha petrol kinatutoshaaa
😬😬😬😬 Unaenda kituo gani nigeuze unikute wakatupatanishe maana mie na wewe hatuachani bora niache familia yangu woote sio kukuacha weweAisee ngoja niwahi police maana mna chukulia poa uhai wa mtu😩😩
Nimekaa nasikiliza shuhuda za mtu mmoja anasema alienda mbinguni, akaoneshwa nyumba za saints na zinatofuatiana kutoka na kazi ambazo wamefanya, na kuna wengine waliopo duniani nyumba zao zingine hazijakamilika ..... nikaa nikawaza kwa akili zangu za ajabu ajabu
Nikajisemea kwa kuna watu ( wakristo wavivu ) wanaweza kwenda mbinguni ila wakawa wamasai wa watu kule wakalinda nyumba za watu au wakawa machokaraa wa mbinguni maana hawana makazi na hawakufanya juhudi ili makazi yao ya kule yajengwe au watakuwa mabeki tatu
Heaven Sent
Christine1


nachekankm mazuri!kwa kweli sie hapa wasindikizaji big boya watakula sana vitamu....Mkuu umeona big boy sasa.. weee tukae kusherehesha tu hapaaa.. sie wetu kuku wa kienyeji pale msamvu kwa down 😅😅
😅😅😅😅 unakuwa mmasaid kule unaoza ugoro ka mama yoyooonachekankm mazuri!
Yesu nisaidie tu kulijua,na kufanya lile kusudi kwa uaminifu! Manaake hali ni tete....
Mavuno ni mengi watenda kazi ni wachche....
Maana neno linasema ukifanya kwa mkono mlegevu....
Na Kuna taji ujue,na taji zote zitapitishwa kwenye moto...
Hasa hizo nyumba naona sawa na unapoongelea taji kulingana na kazi....
Ss km taji ni la nyasi,ushawaza likipitishwa kwenye moto?
Vizuri sana kukubaliana na hali 😅😅😅kwa kweli sie hapa wasindikizaji big boya watakula sana vitamu....
Haki nimepitwa. Si unajua humu ukitoka tu dk 2 tayari mambo mazuri yashakupitaSiamini kama umepitwa kipenzi![]()
Upati presha kaka mie ni hawa form fooo B na wake za watu.Vizuri sana kukubaliana na hali 😅😅😅
🫣🫣🫣 alafu wewe manzi inakuona unashuka na bodaaa 🤔🤫 inaweza hata isitokee eeeh... sema wake za watu nomaaa bora form for B na ma bar med ili mishangazi kama leo jioni nilienda kwenye ka bar kamoja nimekutana na Bibi mmoja kafungasha hips hizo alafu ndio akanihudumia kesho narudi kuchukua namna au usiku nitajaribu kama bado yupoUpati presha kaka mie ni hawa form fooo B na wake za watu.
Ebu imagine huyu jamaa atue na range rover lake ampakie mahondaw na lile paja front seat
Ah wee wala huangliwi mara mbili...wakikuona tuu na kaboda boda kaka wnajua huyu kapuku tuu🤣🤣🤣🤣🫣🫣🫣 alafu wewe manzi inakuona unashuka na bodaaa 🤔🤫 inaweza hata isitokee eeeh... sema wake za watu nomaaa bora form for B na ma bar med ili mishangazi kama leo jioni nilienda kwenye ka bar kamoja nimekutana na Bibi mmoja kafungasha hips hizo alafu ndio akanihudumia kesho narudi kuchukua namna au usiku nitajaribu kama bado yupo
😀😀😀 acha nipambane na mabibi ya kwenye vi bar vya uswazi .. huku jf wazito ndio wanafaidi .. sie wepesi makaratasi tunaishia kuita shemejiAh wee wala huangliwi mara mbili...wakikuona tuu na kaboda boda kaka wnajua huyu kapuku tuu🤣🤣🤣🤣
Itabi niende kuazima range ya jamaa nipate kulia mbususu za warembo wa jf
Kweli mzeya...yaani kiukweli mpaka leo sipati usingizi kwa lile tako skonsi la yule mrembo...jamaa anafaidi sana style ya mbuzi kagoma kwenda😀😀😀 acha nipambane na mabibi ya kwenye vi bar vya uswazi .. huku jf wazito ndio wanafaidi .. sie wepesi makaratasi tunaishia kuita shemeji