Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

acha nipambane na mabibi ya kwenye vi bar vya uswazi .. huku jf wazito ndio wanafaidi .. sie wepesi makaratasi tunaishia kuita shemeji
Karibuni chamani

Huku nilishasema sipawezi

Ni kuja kufaudu kwa macho

Halafu naenda buza au buguruni

Basi nikitia imajinesheni

Mbona kidawa haambiliki

Namuona pisi kali

Kama za humu
 
Back
Top Bottom