Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀😀😀 Utajilaumuuu utakimbia hadi upotee kwako

Karibia na central kama kawa kama dawaaa 😀😀😀😀
😂😂😂me nikimbie? Sio Mchuga mie

Pale pazuri sana… mtaenjoy
 
Hiyo hapoooo….
😅😅😅 kazi yenyewe nina flow mistari ya wakali 😀😀😀
3F7F2D9A-C4AE-4A4A-9A4A-1AFF7E2B3986.png
 
Kama kuna mtu humu ana kg zaidi ya 70 na anataka kupungua tr 20 june, tuanze fasting na keto diet

Mlo wa jioni ni ndizi mbivu nusu tu,, na fasting hyo ni for 14 days

Siku 3 za kwanza itakuwa ngumu mno lakini on the 4th day baada ya ketosis kuanza itakuwa easy peasy

Kama u are pregnant au una matatizo ya kiafya challenge hii usifanye,,

Any volunteers for science??
Nafanya kazi ya kubeba zege je haitoathiri ufanyaji kazi wangu!
 
Back
Top Bottom