Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
kile cha mbele yenu kuleMchumba wako hayo ma Hardtop kaokota wapi?
Bora hata ungesema lile la mwanzo 😂😂
kile cha mbele yenu kuleMchumba wako hayo ma Hardtop kaokota wapi?
Bora hata ungesema lile la mwanzo 😂😂
Happiest birthday kaka mkubwa. Mkono wa BWANA usikupungukie...Happy born day2 me Jr!View attachment 2246727
thobotoooooooooo .. haonekani kirahisi rahisi princess wanguuu .. ndio maana nakuambi una wenge we katoto 😅😅😅 dawa yako nakupashia nije niliondoe ilo wengeMchumba ako nilimuona kwenye ile hiace.. amependeza sana 🤓
We kwendraaaaa tu, muhindi asije kukubadirikia hapa tunabaki maboss na waajiri tu 😅😅😅😅D was here!
Wasalaaam….
Happy born day2 me Jr!View attachment 2246727
Hangamaga! (ishi maisha marefu kwa kadri inavyowezekana!)Happy born day2 me Jr!View attachment 2246727








Kheri ya siku ya kuzaliwa.Happy born day2 me Jr!View attachment 2246727
Happy Birthday MkuuHappy born day2 me Jr!View attachment 2246727
Kwendraaa😁😁😁😁 uzuri unajua najua namna vile ukiamka unavyokuwa kisirani kama umeamshwa wakati umeamka mwenyewe plus maluwe luwe
Bado nipo 😅😅We kwendraaaaa tu, muhindi asije kukubadirikia hapa tunabaki maboss na waajiri tu 😅😅😅😅
😅😅😅 Unaamka unaanza kuulizia kama mrango wa ofisi wamefunga , mala unaanza ita stuffs wenzako khaaa 😍😅😅 wee ni noumaaaaKwendraaa
Ile siku ni wewe ndio ulijawa wenge
😅😅😅 we ndio monitor eeh.. ijumaa nakufata nije kutoa wenge hilo na dawa yako ninayo full package kwenye kichupa cha chaiBado nipo 😅😅
I was here doesn’t mean nalog out jf.. ni natoka tu hapa selfika naenda chaka lingine.
Wenge tu limekujaa