Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan iko hivi,
Kuna wanaume wasumbufu, hawaeleweki, au hawajali ktk mahusiano, sasa bint abiud ndo akasema ikifikia hivyo huwa hatazami nyuma anaachia ngazi, labda awe na pesa wa kutuma miamala ndo kidogo anaweza ku delay.

Mie ndo nkajibu, wa miamala huwa haachwi analizwa kimya kimya.
Ooh Asante kwa maelezo
So huyu wa miamala unabaki kwake lakini unakuwa mguu nje ndani , Upo tu kwa ajili ya pesa zake ?

Sema ukipenda unaweza jikuta unabaki tu humo
Love is blind
 
IMG20220530224748.jpg
 
Ooh Asante kwa maelezo
So huyu wa miamala unabaki kwake lakini unakuwa mguu nje ndani , Upo tu kwa ajili ya pesa zake ?

Sema ukipenda unaweza jikuta unabaki tu humo
Love is blind
pesa kwanza mengine baadae, huku una balance mambo, ila ukicheza vibaya. risasi 7
Paah paah paah paah paah paaah paaah. Woiiiiiiiiih
 
pesa kwanza mengine baadae, huku una balance mambo, ila ukocheza vibaya. risasi 7
Paah paah paah paah paah paaah paaah. Woiiiiiiiiih
Hahhaha hapo sasa
Kama huwezi kubalance bora ubaki kwa miamala huyo .. ya nini kujipa stress bure .

Huyo dada aisee alikuwa mrembo mno
So sad
 
pesa kwanza mengine baadae, huku una balance mambo, ila ukicheza vibaya. risasi 7
Paah paah paah paah paah paaah paaah. Woiiiiiiiiih
Hii pisi kali imeniuma sana. Halafu tukiwaambia vijana kuwa wasioe pisi kali kama hawana kifua hawaelewi.

Hata pesa mzile kwa mahesabu jamani. Hii dunia ya sasa hii watu wamevurugwa haki ya nani...
JamiiForums-27384185.jpg
JamiiForums-853280246.jpg
 
Back
Top Bottom