Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Yaaaniii
Mesahau kujifotoa jamani, nishavua gauni langu la kitenge
Yaaaniii
Nitaumia mimi, sitaweza wivu utaniua kwa kweliAkati wewe ukisubiri uliwe denda lakutoka et?
Mimi zangu Ni zilezile.
Nimeona kifua, ninahusudu vifua sanaKheeee mkuu hebu angalia tena vizuri aiseeMimi ni kibonge mbona au angalia kwenye picha nyingine hizi hapaView attachment 1252268View attachment 1252269


Ayaaa🙆🏽♂️ dahNimeenda kaka
Ila nishavua gauni langu la kitenge, mesahau kujifotoa
Jamani jamani....Ndo utaratibu wetu wanawake wa Dar. Niwe na tumbo flat mi nyoka?View attachment 1252162

Ha ha haaa lile zoezi la dakika chache ila uzito wake ndo ni wa kutoa rohoNitaumia mimi, sitaweza wivu utaniua kwa kweli
Daah! Nitakua kanisani mida hiyo
Utuombee sisi tulioasi Saint anneMwana- kondoo ameshindaView attachment 1252610
Ustaadhat katika ubora wake...
Nyigu mama🤭Mwana- kondoo ameshindaView attachment 1252610
Ha ha haaa lile zoezi la dakika chache ila uzito wake ndo ni wa kutoa roho






Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa MunguUtuombee sisi tulioasi Saint anne
Bwana asifiweNyigu mama![]()

Ila wengine tunaogelea katika uasi na utukufu umetoweka kabisaWote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu

Tukisema hatuna dhambi twajidanganya wenyewe Wala kweli haimo ndani yetu..Bali tukiziungama na kuziacha Yeye Ni mwaminifu na wa Haki hata Atusamehe na kutusafisha.Ila wengine tunaogelea katika uasi na utukufu umetoweka kabisa![]()