Kheeeeeh shouzzzzzz mbna ngozi imeharibika hivyo? Poleeeeh sana Dea.Nina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!
@Ngariba1View attachment 2242793View attachment 2242792
Alegi ya nyama shosKheeeeeh shouzzzzzz mbna ngozi imeharibika hivyo? Poleeeeh sana Dea.
Na sisi wenye allergy ya pua unatuambia Nini?Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.
Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.
Sasa mbona Tangu nizaliwe nilikua nakula imeanza kama 6 months ago tu yani tangu nizaliwe hadi thate plus yangu hii kuanzia hio majuzi kati Ndio nashangaa!!Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.
Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.
Aiseeπ₯ΊPercy 2 mdogo wangu nipo naumwaaa nimevimba hadi matakoni niko najikunaje hapa Halafu vinawasha ukivikuna Ndio vinavimba zaidiioView attachment 2242811
Nimejaribu kufeel namna unawashwa.Sasa mbona Tangu nizaliwe nilikua nakula imeanza kama 6 months ago tu yani tangu nizaliwe hadi thate plus yangu hii kuanzia hio majuzi kati Ndio nashangaa!!
Wee had matakoni? Kwan nyama gani hiyo?Percy 2 mdogo wangu nipo naumwaaa nimevimba hadi matakoni niko najikunaje hapa Halafu vinawasha ukivikuna Ndio vinavimba zaidiioView attachment 2242811
Duuuuh mwenzio huwa silagi vitu vya allegyAlegi ya nyama shos
Wee nae acha porojo zako mmmh.Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.
Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.
Maji ya dhahabu
Vimeanza majuzi tu shos sasa ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa Fresh si leo nikasema ngoja hio ya mbuzi wanikaangie vilevile kha!!Duuuuh mwenzio huwa silagi vitu vya allegy
Yaan kumbe ndo umekula leo hii hii? Duuuh poleeeeh sana.Vimeanza majuzi tu shos sasa ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa Fresh si leo nikasema ngoja hio ya mbuzi wanikaangie vilevile kha!!
Yaan kumbe ndo umekula leo hii hii? Duuuh poleeeeh sana.
Pole sanaNina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!
Ngariba1 View attachment 2242793View attachment 2242792
Asante mamy! Sasa hapo nimekula vipande kama vinne tu imagine ningefakamia bakuli zima πππππPole sana
Kheeeeeeh mbna hatareeeh sana lol.Saa 12 Jioni hii ya leo shos!!
Mkurugenzi una hali gani huko uliko?
Eti ujo jwani ujo
Ujo mwakatobe ujo
Mganga wa kinyaki anawaagua wamakonde.
Nimecheka.View attachment 2242779
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pole Boss Lady...Nina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!
Ngariba1 View attachment 2242793View attachment 2242792
Pole sana mkuuNina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!
Ngariba1 View attachment 2242793View attachment 2242792
Pole.Vimeanza majuzi tu shos sasa ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa Fresh si leo nikasema ngoja hio ya mbuzi wanikaangie vilevile kha!!