ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,418
- 118,933
Naongea na baba yetu, nashukuru inawezekana niliona peke yangu kabla fagio halijapita. Hiyo rangi, midomo tu..dah watu wanafaidi.Unaongea na nani eti kaka
Naongea na baba yetu, nashukuru inawezekana niliona peke yangu kabla fagio halijapita. Hiyo rangi, midomo tu..dah watu wanafaidi.Unaongea na nani eti kaka
baada ya kuambiwa ikabidi niende mwenyewe kuhakikisha na kweli nikakuta umeshafuta shemNani kakwambia jamani shem niliyepost ni mimi
Anataka kufanana na wewe
Naona inawekwa ya jumatano 😂😂
Itachafuka bana
Huyo jamaa atakuwa mtumishi mwandamizi wa ikulu
Na mimi naomba kwenda kuangalia mkuuHahahaahahha
Kaiangalie kule status bana!


Kumbe nawe ulihifadhi kwa matumizi ya baadae
Sidhani 😂😂😂😂Hivi huwa anasoma kweeliii
Morning lil sisy
😋😋😋