Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Kwani upo seriousahaha yani acha tu embu ngoja nitest na uku kwako
Kwani upo seriousahaha yani acha tu embu ngoja nitest na uku kwako
Mimi Mobutu kaniambia huyo ni mtu chakeHii picha mnaitoa wapi eti??
Ebu comment basiNilitaka kucoment hapa ila![]()
Ukiwa mbea usiwe mshahaulifu jamaniuwii nimesahau eti tulikuwa tunaongelea nini tena jamani??
Hahahha ila ajue tu mkono mtupu haulambwi
Vinini hivyo jamani vimekuja vibox box
Asiyekuwepo na lake halipo dadaDada mbona umeifuta hiyo picha weka tena jamani
kumbe wewe ni mwembamba??


Mimi kibonge huyo mdogo wangu ndio mwembamba
Usiniambie unamuonea wivu shemKaka anafaidiiiii
Nani kakwambia jamani shem niliyepost ni miminimeambiwa umeshafuta shem
Uyu Mzee nna wasiwasi naeHiyo radio call.... mshana hahah

asijekuwa anatutega ili atunase
Tuma muamala nigeukeSi ugeuke tu jamani?. Nini mambo ya kufichana fichana sebuleni?
Sio mimi huyo pia hilo vazi duuuuh.
Eeeenh kwahiyo tunaokunywa bado watoto etiNimekuwa mkubwa dada
Hahhaha kwahiyo wanakulana hawana wivuHahahaahahha
Ndiwooo, eti hainaga wivu
HallelujahMwana- kondoo ameshindaView attachment 1252610
Nifuateni,Nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watuNaombeni Injili ya Leo Sakayo Saint anne
Majibu 1:1nifanye nini nasubiri uniambie.