Selfika na JF: Snap it. Show it

D
Hakika madam. Ni kama mzazi anakuwa hayupo sawa kisaikolojia; amejaza uchungu mwingi then mtoto ndiyo anakuwa fuko lake la kutemea machungu yake. Ndiyo yale mtoto anaiba Tsh 100, afu mzazi anamchoma moto vidole.
Hiyo ni depression, inachukuliwa poa tu mpaka siku mtu anapiga tukio la ajabu tunashangaaa kumbe mgonjwa wa akili.
 
Tunga mtihani unipe .. tungezaa katoto kangekuwa hatari ya kuotea mbalii sema na mshakaaaa na weeeeee tuuu
ange ku lithi wewe mmmmmmh
Inavyosemekana anayeamua akili za watoto ni mama na siyo baba. Sasa siku hizi tumekazana kuoa kwa kuzingatia misambwanda bila kuzingatia vigezo vingine. Tukija kupata watoto vilaza tusilalamike



 
– NAOGOPA

Ye ye
Mmmh aaah aahhh
abbahaaa

Kwetu si tunasherehe, ya mapenzi
Sio makasiriko ahaaaa
Kwetu ni fuhara tele, maana mapenzi
Sio makasiriko mmmmhh
Hata kama tukishindia tembele, ooh my love
Baba mwenye nyumba kodi apige kelele, ooh my love
Hata kama tunapanda dala dala nawe my love
Et chetu chumba kina mavyombo tele inahusu
Wala sidhani kama hunipendi
Ila nawaza usipokuwepo ntaishije eeh
Mwenzako najua kamaa unanipenda umeniweka moyoni
Ila nawaza usipokuwep ntaishije ndo ninaogopa
Aah aah aaaahh naogopa
Aah aah aaaahh naogopa
Aah aah aaaahh naogopa
Aah aah aaaahh naogopa
Aah aah aaaahh naogopa

Good night

Tulale na nyimbo tam tam
 
Aunt umepatwa na nn? Nishirikishe puliiiiiizzzzzz.
 
sophy27 shangazi jomoneeeeeeh puliiiiizzzzz njoo niwekee picha bhanaa, km vipi ntakununia,


Hebu njoo niwekee mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…