ππ ni chaka hilo ukichoma mpira ndio utajia injia wa michongo walivyo jaaaa π ππ .. Binafsi nilishajitoa kwa hilo kundi sasa hivi nimekuwa raia wa kawaida
Nacheka kwa masikitiko hapaπ€!! Kuna mwalimu mmoja yuko resi hatari wakiingia 18 zake anawapaga hadi ya ndugu wa mtoto ya nguoni kabisa tunabaki tuπ€π€!!ππ
Huu ni ukatili kusaikolojia inamuathiri sana mtoto basi tu!! Kuna aproaches nyingi sana za kudili nao sema temper ikiwa juu ndio kujizuia ngumu kidogo!
Huu ni ukatili kusaikolojia inamuathiri sana mtoto basi tu!! Kuna aproaches nyingi sana za kudili nao sema temper ikiwa juu ndio kujizuia ngumu kidogo!
Hakika madam. Ni kama mzazi anakuwa hayupo sawa kisaikolojia; amejaza uchungu mwingi then mtoto ndiyo anakuwa fuko lake la kutemea machungu yake. Ndiyo yale mtoto anaiba Tsh 100, afu mzazi anamchoma moto vidole.