Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,528
- 235,273
Dada mshepuView attachment 2241070
Evening friends β!!
Team ya wazee mie sitaki..Tumejitahidi licha ya kuwa na timu isiyo na consistency. Kutoka kuwa wa 20 baada ya mechi 3 za mwanzo hadi kuwa 5 mwisho wa Ligi πͺπͺ
Hamia timu ya Babu Mjukuu π€ͺπ€ͺ
Injiaaa wa mchongooo π₯Έπ₯Έπ₯ΈWeeee thubutuuuu injinia kabisa weweπ€π€π€
Majukumu baba pasta majukumu mengine!Shangazi huyoo, alafu mbona mapemaa sana shangaziii unalala siku hizi
injinia ni injinia tu baba pasta!!Injiaaa wa mchongooo π₯Έπ₯Έπ₯Έ
Shangazi majumuu tuu jamani au kamanda mwenyewe πππMajukumu baba pasta majukumu mengine!
Umenikumbusha kitu nimecheka sana. Nimetunza reports zangu za shule za tangu primary; siku hiyo nikawaita wadogo zangu; nikawaambia mnaona reports zangu eeh. Kesho watoto wenu wakiwa vilaza sitegemei matusi ya "akili kama za shangazi yako sijui mama ako mkubwa, nitawaonesha wakatafute waliporithi hizo akili zao". π€£π€£π€£Tuoneshe mitihani yako sio unatulisha matangoπ¬π¬
Ndio majukumu hayo mjomba! π€£π€£π€£Shangazi majumuu tuu jamani au kamanda mwenyewe πππ
ποΈποΈποΈποΈView attachment 2241070
Evening friends β!!
ππ ni chaka hilo ukichoma mpira ndio utajia injia wa michongo walivyo jaaaa π ππ .. Binafsi nilishajitoa kwa hilo kundi sasa hivi nimekuwa raia wa kawaidainjinia ni injinia tu baba pasta!!
mmmmmh! ungenizaliwa mwijaku weweee π π π
au ndio maana siku ile ukatupia ki washa motooo π₯π₯π₯π₯ anafaidi mema ya muumbaNdio majukumu hayo mjomba! π€£π€£π€£
Eeeeeh π π π π ningekuwa naweka makonzi tu mwanao hadi vichwa vingewakaa sawaπ¬π¬π¬
Unatunza kumbukumbu mimi hata sijui ziko upande gani ila kichwani zilikuwemo π π πUmenikumbusha kitu nimecheka sana. Nimetunza reports zangu za shule za tangu primary; siku hiyo nikawaita wadogo zangu; nikawaambia mnaona reports zangu eeh. Kesho watoto wenu wakiwa vilaza sitegemei matusi ya "akili kama za shangazi yako sijui mama ako mkubwa, nitawaonesha wakatafute waliporithi hizo akili zao". π€£π€£π€£
Haki siwez ishi bila wewe[emoji41]View attachment 2241070
Evening friends [emoji113]!!
Uzee Dawa, Hata hivyo nimebakiza miaka 3 tu nifike 70 nistaafu nikacheze na wajukuu π€ͺπ€ͺπ€ͺMzee wa mchongo[emoji1787]
Unatakiwa ustaafu
Sio mnang'ang'ania maofisini
La mwisho si kwa umuhimu
Bado unapiga kavu[emoji2089]
Sababu za kupima ni nini[emoji848]
π π π π thobotoooooooooo... hesabu ndogo ndogo ulikuwa huweziiUnatunza kumbukumbu mimi hata sijui ziko upande gani ila kichwani zilikuwemo π π π
Nipe code nipo patrol hii hii njia π π na defender nyekondoooooMzee wa mchongo[emoji1787]
Unatakiwa ustaafu
Sio mnang'ang'ania maofisini
La mwisho si kwa umuhimu
Bado unapiga kavu[emoji2089]
Sababu za kupima ni nini[emoji848]
ππππ kwahiyo unajikuta nani?Yaani nikikaa
Nikajirecord
Nikakutumia
Ujue nimekuheshimu sanaπ€£
Hahahaha.........Mwakani timu ya Babu inachukua Ubingwa, bora uhamie mapema.Team ya wazee mie sitaki..