Kwa mashambulizi kutoka pande zoteeπ π alafu kipindi nipo shule nilikuwa midfielder mmoja matataa au basi nilikuwa napendaga ma organic sema nimechoka sasa hivi ningekuwa sijachoka ningeenda kufanya Bsc ya chemistry π§ͺ wengine kusoma kumo kwenye damu
Kwa mashambulizi kutoka pande zoteeπ π alafu kipindi nipo shule nilikuwa midfielder mmoja matataa au basi nilikuwa napendaga ma organic sema nimechoka sasa hivi ningekuwa sijachoka ningeenda kufanya Bsc ya chemistry π§ͺ wengine kusoma kumo kwenye damu
Ila Physics nilikuwa vizuri zaidi, Physics sikuwa kuwa kilaza popote nilipokuwa napita Physics walikuwa wanakuja nyuma yangu mie mbelee hapo π π π kuja juu huku Mechanics Physics ndio nikawa baraaaaa la kuotea mbali yaani π π π kusoma raha sanaa
Ila Physics nilikuwa vizuri zaidi, Physics sikuwa kuwa kilaza popote nilipokuwa napita Physics walikuwa wanakuja nyuma yangu mie mbelee hapo π π π kuja juu huku Mechanics Physics ndio nikawa baraaaaa la kuotea mbali yaani π π π kusoma raha sanaa