Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ilikuaje auntwakaomboleza eeh
Shost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon,

Sasa bidada yeye anataka mambo mbali mbali, na uvinza ikiwemo, wee kaka hataki eti oooh ni dhambi mara uchafu, woiiiiiih
Shost akavumilia wee mwshoe akachoka, couz alikua hasikii raha ya kuwa sirini nae, akaja kwangu kuomba ushauri, km mnavyonijua sina longo longo, bhana eeeh km hakupi unachotaka na husikii aman kuwa nae, wee mpige chini,

Shost ikabidi amteme jamaa, sasa ktk mazungumzo yao, sijui jamaa alikua anabembeleza mno, shost akanitaja mie ndo nimemuambia amuache lol.

Kaka wa watu asije kwangu kunihubiria? Nikamjibu kwa ufupi tyuuh "yeye alikuja kwangu kuomba ushauri na nilimuuliza wazi alisema hajisikii poa kuwa nawee sasa ningefanyaje? " khee jamaa si akaanza kuleta personal attacks kwangu. Nkaona huyu anataka kunipanda kichwan.

Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"

Waliachana,

Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.
 
Shost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon,

Sasa bidada yeye anataka mambo mbali mbali, na uvinza ikiwemo, wee kaka hataki eti oooh ni dhambi mara uchafu, woiiiiiih
Shost akavumilia wee mwshoe akachoka, couz alikua hasikii raha ya kuwa sirini nae, akaja kwangu kuomba ushauri, km mnavyonijua sina longo longo, bhana eeeh km hakupi unachotaka na husikii aman kuwa nae, wee mpige chini,

Shost ikabidi amteme jamaa, sasa ktk mazungumzo yao, sijui jamaa alikua anabembeleza mno, shost akanitaja mie ndo nimemuambia amuache lol.

Kaka wa watu asije kwangu kunihubiria? Nikamjibu kwa ufupi tyuuh "yeye alikuja kwangu kuomba ushauri na nilimuuliza wazi alisema hajisikii poa kuwa nawee sasa ningefanyaje? " khee jamaa si akaanza kuleta personal attacks kwangu. Nkaona huyu anataka kunipanda kichwan.

Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"

Waliachana,

Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.
Nimecheka kumbe aunt mshauri Ila ushauri wako konk

Nae si angejiongeza Mambo ya kuachana na hamu niaje na bado vijana jamn

Walisema walokole vipanga na wakovzuri wapite hapa wasikie hao vipanga waowanavyofanyaga mahubiri huko
 
Shost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon,

Sasa bidada yeye anataka mambo mbali mbali, na uvinza ikiwemo, wee kaka hataki eti oooh ni dhambi mara uchafu, woiiiiiih
Shost akavumilia wee mwshoe akachoka, couz alikua hasikii raha ya kuwa sirini nae, akaja kwangu kuomba ushauri, km mnavyonijua sina longo longo, bhana eeeh km hakupi unachotaka na husikii aman kuwa nae, wee mpige chini,

Shost ikabidi amteme jamaa, sasa ktk mazungumzo yao, sijui jamaa alikua anabembeleza mno, shost akanitaja mie ndo nimemuambia amuache lol.

Kaka wa watu asije kwangu kunihubiria? Nikamjibu kwa ufupi tyuuh "yeye alikuja kwangu kuomba ushauri na nilimuuliza wazi alisema hajisikii poa kuwa nawee sasa ningefanyaje? " khee jamaa si akaanza kuleta personal attacks kwangu. Nkaona huyu anataka kunipanda kichwan.

Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"

Waliachana,

Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.
Kutengua wokovu aunt
 
Nimecheka kumbe aunt mshauri Ila ushauri wako konk

Nae si angejiongeza Mambo ya kuachana na hamu niaje na bado vijana jamn

Walisema walokole vipanga na wakovzuri wapite hapa wasikie hao vipanga waowanavyofanyaga mahubiri huko
aunt jamaa anasema masham sham ni dhambi na uchafu, sasa si awafuate wasafi na watakatifu wenzie, anakwama wapi?

Mie nilitoa ushauri kwa maslahi ya pande zote mbili,
 
Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"

Waliachana,

Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.
🤣🤣🤣🤣 at utatengua wokovu wake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka ka chiz
 
IMG_20220526_154221.jpg
IMG_20220526_154243.jpg
IMG_20220526_154442.jpg
IMG_20220526_154411.jpg
 
Back
Top Bottom