Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Wanakausha ndugu hawatikiisikiWashapita nayo kitambooooo,
Mie nikiwa humu nakua buzzy sana, siko avtive, mambo ni mengi,. Hapo walioingiza waweke selfie zao.




Wanakausha ndugu hawatikiisikiWashapita nayo kitambooooo,
Mie nikiwa humu nakua buzzy sana, siko avtive, mambo ni mengi,. Hapo walioingiza waweke selfie zao.




Kweli humu una mambo mengiWashapita nayo kitambooooo,
Mie nikiwa humu nakua buzzy sana, siko avtive, mambo ni mengi,. Hapo walioingiza waweke selfie zao.
Kacoca kapo busy na comment za juu.Wanakausha ndugu hawatikiisiki![]()
Shost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon,Ilikuaje auntwakaomboleza eeh



























Tatizo staki kupitwa.Kacoca kapo busy na comment za juu.
Mm nilijua tu katapitwa





Ilikua ni ku copy na ku paste yaani nilisharahisisha mchozi sema haikua bahati yako leoTatizo staki kupitwa.
Afu pia had kukariri na kuingiza mbna ishakua too late.![]()
Shost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon,
Sasa bidada yeye anataka mambo mbali mbali, na uvinza ikiwemo, wee kaka hataki eti oooh ni dhambi mara uchafu, woiiiiiih
Shost akavumilia wee mwshoe akachoka, couz alikua hasikii raha ya kuwa sirini nae, akaja kwangu kuomba ushauri, km mnavyonijua sina longo longo, bhana eeeh km hakupi unachotaka na husikii aman kuwa nae, wee mpige chini,
Shost ikabidi amteme jamaa, sasa ktk mazungumzo yao, sijui jamaa alikua anabembeleza mno, shost akanitaja mie ndo nimemuambia amuache lol.
Kaka wa watu asije kwangu kunihubiria? Nikamjibu kwa ufupi tyuuh "yeye alikuja kwangu kuomba ushauri na nilimuuliza wazi alisema hajisikii poa kuwa nawee sasa ningefanyaje? " khee jamaa si akaanza kuleta personal attacks kwangu. Nkaona huyu anataka kunipanda kichwan.
Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"
Waliachana,
Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.

Nimecheka kumbe aunt mshauri Ila ushauri wako konk






wanavyofanyaga mahubiri hukoKutengua wokovu auntShost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon,
Sasa bidada yeye anataka mambo mbali mbali, na uvinza ikiwemo, wee kaka hataki eti oooh ni dhambi mara uchafu, woiiiiiih
Shost akavumilia wee mwshoe akachoka, couz alikua hasikii raha ya kuwa sirini nae, akaja kwangu kuomba ushauri, km mnavyonijua sina longo longo, bhana eeeh km hakupi unachotaka na husikii aman kuwa nae, wee mpige chini,
Shost ikabidi amteme jamaa, sasa ktk mazungumzo yao, sijui jamaa alikua anabembeleza mno, shost akanitaja mie ndo nimemuambia amuache lol.
Kaka wa watu asije kwangu kunihubiria? Nikamjibu kwa ufupi tyuuh "yeye alikuja kwangu kuomba ushauri na nilimuuliza wazi alisema hajisikii poa kuwa nawee sasa ningefanyaje? " khee jamaa si akaanza kuleta personal attacks kwangu. Nkaona huyu anataka kunipanda kichwan.
Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"
Waliachana,
Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.




Nimecheka kumbe aunt mshauri Ila ushauri wako konk
Nae si angejiongeza Mambo ya kuachana na hamu niaje na bado vijana jamn
Walisema walokole vipanga na wakovzuri wapite hapa wasikie hao vipanga waowanavyofanyaga mahubiri huko







aunt jamaa anasema masham sham ni dhambi na uchafu, sasa si awafuate wasafi na watakatifu wenzie, anakwama wapi? 






Kutengua wokovu aunt![]()






alitaka kinitibua vibaya mnoo, ushamba wake yeye aamkie kwangu inahusu? Akuuuuh sitakiiiaunt jamaa anasema masham sham ni dhambi na uchafu, sasa si awafuate wasafi na watakatifu wenzie, anakwama wapi?
Mie nilitoa ushauri kwa maslahi ya pande zote mbili,![]()


kwakweli ushauri konkalitaka kinitibua vibaya mnoo, ushamba wake yeye aamkie kwangu inahusu? Akuuuuh sitakiii

Mie mshauri bora.kwakweli ushauri konk
🤣🤣🤣🤣 at utatengua wokovu wake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka ka chizKwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri"
Waliachana,
Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih,
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.