Shost angu bhana akajikanyaga kwa mlokole. Baada ya muda ikabidi waingie faragha, sasa huko sirini unaambiwa jamaa anachojua na kutaka ni denda then waingie mchezon, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa bidada yeye anataka mambo mbali mbali, na uvinza ikiwemo, wee kaka hataki eti oooh ni dhambi mara uchafu, woiiiiiih
Shost akavumilia wee mwshoe akachoka, couz alikua hasikii raha ya kuwa sirini nae, akaja kwangu kuomba ushauri, km mnavyonijua sina longo longo, bhana eeeh km hakupi unachotaka na husikii aman kuwa nae, wee mpige chini, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shost ikabidi amteme jamaa, sasa ktk mazungumzo yao, sijui jamaa alikua anabembeleza mno, shost akanitaja mie ndo nimemuambia amuache lol.
Kaka wa watu asije kwangu kunihubiria? Nikamjibu kwa ufupi tyuuh "yeye alikuja kwangu kuomba ushauri na nilimuuliza wazi alisema hajisikii poa kuwa nawee sasa ningefanyaje? " khee jamaa si akaanza kuleta personal attacks kwangu. Nkaona huyu anataka kunipanda kichwan.
Kwa ufupi nkamuuliza, "unanijua, unanisikia?, samahani nitatengua wokovu wako sasa hivi, kamuulize huyo mchumba ako habari zangu akuambie vizuri" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waliachana,
Yaan nikimuona yule kaka nacheka mbavu cna woiiiiiiih, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu msomi na kipanga balaaa, tatizo hilo la ukokole tyuuh.