Nafikiri watu wengi bado wana ule mtazamo kuwa walokole ni watu losers, waliojikatia tamaa, wapowapo tu. Ilhali siku hizi kuna vijana wanaojitambua (wenyewe tunasema wanaume wa maana) na wameamua tu kumtafuta Mungu kwa hiyari yao. Total package
Nafikiri watu wengi bado wana ule mtazamo kuwa walokole ni watu losers, waliojikatia tamaa, wapowapo tu. Ilhali siku hizi kuna vijana wanaojitambua (wenyewe tunasema wanaume wa maana) na wameamua tu kumtafuta Mungu kwa hiyari yao. Total package