Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,298
- 95,617
hahahaha.naomba nianze mimi kutekwa na bi ashura.na msinitafuteHahaha nagombania kutekwa
hahahaha.naomba nianze mimi kutekwa na bi ashura.na msinitafuteHahaha nagombania kutekwa
Hahah okoka wewhahahaha.anakuaje mtamu au mtundu na yy yesu yuko ndani yake
Hahahaha.niokoke na route za usiku za mawindo.nimuachie nani?
Umeelewa nnTumeelewa[emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]!!!
hahahaha.bd sana.mpk nizeekeHahah okoka wew
Mbona khaa tena!Yani kumbe ndio wewe !!kha!
Nipe notes nikampe summary achangamke kidogo[emoji23]Ndyooooh lips tamuui, afu muambie ankoli awage anazilamba na kuzing'ata. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
😀Nimefika kwa wkati emoj sasa
Kawaida hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wakaka nao je hawatakutazama kwa jicho la YS.
Labda wasio na hela..Hahha Kwanza nasikia vijana waliokoka sio watamu(msije na povu nimeskia tu[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tulia mdogo wang CocasticWee dogo, uwage una shave vizuri hizo ndevu, cheki hapo sasa km ukoka uliokosa rutuba? Wahi saloon bhana, kaweke kitu cha kueleweka. Unaniangusha sasa khaaaah.
Huyo hajapata wokovu wenyew huyo [emoji1][emoji1][emoji1] sijawaonaga waliochangamkaLabda wasio na hela..
Kuna namna vijana wanaokoka halafu wanabweteka tu,mtu muda wote anasali tu hafanyi kazi.
Mtu hata hajipendi yaani.
Vijana wa kilokole siku hizi ni magentlemen...muonekano wao unavuta,kazi wanafanya,maombi wanafanya.
Duh itakuwa mlokole asiye na swaggg.Tongozo la kijan wa kilokole alafu awe mtamu thubutu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kiukweri[emoji23][emoji23]mchangamke loohView attachment 2239288
Bhaeleze bhaeleweLabda wasio na hela..
Kuna namna vijana wanaokoka halafu wanabweteka tu,mtu muda wote anasali tu hafanyi kazi.
Mtu hata hajipendi yaani.
Vijana wa kilokole siku hizi ni magentlemen...muonekano wao unavuta,kazi wanafanya,maombi wanafanya.
Walio changamka wapo.Huyo hajapata wokovu wenyew huyo [emoji1][emoji1][emoji1] sijawaonaga waliochangamka
Nitafute nikuonyeshe aunt juniaHuyo hajapata wokovu wenyew huyo [emoji1][emoji1][emoji1] sijawaonaga waliochangamka
Na Elimu kichwani wanayo..Tena magenius wazuri.
Labda ila huyu kanichosha Sana[emoji23][emoji23]jamn Hadi r iwe shidaDuh itakuwa mlokole asiye na swaggg.
Umkute kijana amesoma vizuri,mstaarabu vizuri,anajua kuandika vizuri aisee...mbengo mbona zinafongoka mbele kwa mbele.
Amesoma hadi fom ngapi??Labda ila huyu kanichosha Sana[emoji23][emoji23]jamn Hadi r iwe shida
Sasa Mambo ya maombi na tongozo kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi vijana wameokoka, hela wanatafuta sana na swagga kama zote. Hapo ndiyo unasema kwa maconfidence "I bagged myself a good man".Na Elimu kichwani wanayo..Tena magenius wazuri.