Wee dogo, uwage una shave vizuri hizo ndevu, cheki hapo sasa km ukoka uliokosa rutuba? Wahi saloon bhana, kaweke kitu cha kueleweka. Unaniangusha sasa khaaaah.
Tutaomba na kufunga kwa ajili yako. Imagine binti analeta kamchumba pale hakajaokoka; Ile amefika tu anagonga "nitatoa mifuko 100 ya cements kwa awali". Weeeee
Kwenye tamthilia ya Jua Kali; mchumba Frank kafika tu kaahidi kuwanunulia vyombo vya music. Mchungaji kachanganyikiwa
Nyie mnawaongelea walokole wa enzi zetu za kuvaa suruali na mashati ya satini. Sio hawa wa sasa hivi; wengi wamechachuka. Na mkisikia walokole mnahisi ni "watakatifu waishio duniani". Nyie kuna watu Wana matukio, mpagani akasome. But still kukimbilia kanisani, despite mapungufu yako ni salama sana.
Yohana 21:18
[18]Akasema, Amin, amin, nakuambia, Wakati ulipokuwa kijana, ulikuwa ukijifunga mwenyewe na kwenda utakako; lakini utakapokuwa mzee, utainyosha mikono yako, na mwingine atakufunga na kukuchukua usikotaka.