Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Majimbo kama hayo huendi hivi hivi tunategemea hekima za wakubwa zetu kama wewe.panda juu pitia pitia.utaona mtu katangaza jimbo liko wazi.halina mbunge.kazi kwenu vijana
Majimbo kama hayo huendi hivi hivi tunategemea hekima za wakubwa zetu kama wewe.panda juu pitia pitia.utaona mtu katangaza jimbo liko wazi.halina mbunge.kazi kwenu vijana
hahahaha.usiogope kijana.panga sera vzr.ingia jimboni kuomba kula kimasiharaMajimbo kama hayo huendi hivi hivi tunategemea hekima za wakubwa zetu kama wewe.
Kula au kura?hahahaha.usiogope kijana.panga sera vzr.ingia jimboni kuomba kula.










hahahaha.mnyaki yy anakomaa na mwamposa.mara mwakasege. Wkt jimbo linataka liende scoan.liende kwa major one.sasa maavokado ya beseni huko kutaendeka?.mtoto kaona apige chiniEti kashindwa kulikontrol jimbo wakati jimbo linapenda kuwa kontrolidi....
Usikute Mnyaki wa watu kachoka kuzunguka na maavokado yake kwenye mikutano ya Mwakasege![]()
hapa ni kula (ile ya kimasihara)Kula au kura?![]()
hahahaha
Afadhali hata yule mbwa mwitu wa Nansio yaani. Angalau tulikuwa na matumaini ya kupata angalau vindama kadhaa. Ila kwa huyu baharia mpenda mbususu huyu kwa kweli sijui kama tutapata cho chote!Nimefumwa![]()




Nataka niwakutanishe na huyo mbwa mwituAfadhali hata yule mbwa mwitu wa Nansio yaani. Angalau tulikuwa na matumaini ya kupata angalau vindama kadhaa. Ila kwa huyu baharia mpenda mbususu huyu kwa kweli sijui kama tutapata cho chote!![]()

Zitapigwa kavu kavu. Niite niwe mwamuzi waoNataka niwakutanishe na huyo mbwa mwitu![]()

Wewe utakuwa muamuziZitapigwa kavu kavu. Niite niwe mwamuzi wao![]()

hahahaha.Afadhali hata yule mbwa mwitu wa Nansio yaani. Angalau tulikuwa na matumaini ya kupata angalau vindama kadhaa. Ila kwa huyu baharia mpenda mbususu huyu kwa kweli sijui kama tutapata cho chote!![]()
HahahahahaNataka niwakutanishe na huyo mbwa mwitu![]()
hahahaha.bi ashura huyo?ili ukitekwa hp ni poa tuNimedamkia huku Tabata alikokuwa diwaniView attachment 2237682
Li Ashura lizuri halafu. Simlaumu Baba Mchungaji...hahahaha.bi ashura huyo?ili ukitekwa hp ni poa tu





