Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Nifanyaje sasa jamani😅😅😅🌚🌚 acha hizo basi fanya manuza wewe mtoto mkaleee
Nifanyaje sasa jamani😅😅😅🌚🌚 acha hizo basi fanya manuza wewe mtoto mkaleee
Na alivyo portable nakwambia utaenjoy😅😅😅 hata utamu unaongezeka
Pole kapteni.Mwaka 2010, mama yangu mkubwa aliugua sana, alikuwa anaumwa ugonjwa wa ini tokana na kuwa alcoholic, kabla hajafariki aliugua coma, na hali haikuwa vizuri hata kidogo.
Huyo mama yangu amenisomesha, amenipa mwanga wa mambo mengi sana, maisha yake ya usichana ameishi ughaibuni, nikiwa mshamba kabisa nakwenda kumuona, nashangaa kila kitu, yeye alinipenda sana, na mie nilimpenda sana.
Nimekutana na marafiki wengi kwa sababu yake, na mambo mengine yote ni sababu yake.
Baada ya kuugua sana, watu walikata tamaa akiwemo baba yangu mkubwa ambae ni mmewe, kwa kweli nilimuomba sana Mungu ampe nafuu japo nipate kumuaga mama yangu kipenzi, hata nimwambie tu ahsante mama, anione mwanae anitambue roho yangu ifurahi.
Siku mbili baadae napata taarifa mama amepata nafuu yaani ametoka kwenye coma lakini ana wiki mbili ama mwezi kabla ini lake halija shutdown kabisa.
Namshukuru mungu nilimuona kwa mara ya mwisho , nilimshukuru kwa mema aliyonitendea, nilitoka hapo nalia, sikuamini kama kweli nimemuona akaniona mama yangu kipenzi, nilikua nae karibu sana kabla hajaanza ku hit bottles hard,namshukuru mungu alinipa wasaa kumuona mama yangu mara ya mwisho na kumwambia kwa heri.
Hakika mkuu naweza sema Mungu alisikia maombi yangu
Mungu hajibu kwa kile unachotaka bali unachohitaji.
1 Petro 3:12 NEN
Kwa maana macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza maombi yao. Bali uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu.
_King
😎😎😎Nifanyaje sasa jamani😅😅😅
😅😅😅 acha tu, hapo hata ukifichwa kama Muta flesh tuNa alivyo portable nakwambia utaenjoy
Ah hayo wanafanya makumbembe...huyu mtoto unaona kabisa wa mboga saba...anajua kuwa bby lazima ukapihe kazi ili yeye apate kuishi vizuri.😅😅😅 acha tu, hapo hata ukifichwa kama Muta flesh tu
😅😅😅 makurumbembe huwa yanamwaga tu moto kama rocket 🚀 inataka kupaaa .. sema mafundi kama Ronaldo DeLima 😅😅😅Ah hayo wanafanya makumbembe...huyu mtoto unaona kabisa wa mboga saba...anajua kuwa bby lazima ukapihe kazi ili yeye apate kuishi vizuri.
Amen mtumishi🙏😊Luka 15 7, 10
7 Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.
10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
#AbbaFather 😍😍
God is watching over her now.This is very deep Captain.
Mama aendelee kupumzika salama huko aliko. Na anaendelea kuishi kupitia kwako. Na wewe pass it forward...ili chain ya wema wake na legacy yake aliyoianzisha kwako iendelee. Maisha![]()
🙏🙏🙏.. Neno la Mungu huwa tamu sanaa, ebu wahi tudiscus leo mambo ya before Adam and after Rapture 😍😍😍 nakusubiri kwa hamu zotreeAmen mtumishi🙏😊
Yakikukamata hayo huchomoki....wanavionjo balaaaa😅😅😅 makurumbembe huwa yanamwaga tu moto kama rocket 🚀 inataka kupaaa .. sema mafundi kama Ronaldo DeLima 😅😅😅
Thanks a lot Saint Anne i will do that.Pole kapteni.
Muenzi mama kwa yale mema yake aliyoyafanya wakati wa uhai wake.
God is watching over her now.
Mkuu maisha yatakua si mazuri kwa wakati fulani, lakini yatapita, ugumu utarudi utapita tena, utarudi utapita tena, ni kwenda na kurudi over and over again, maisha hayatokaa sehemu moja tu ya furaha au sehemu moja ya kuumiza tu, nililia sana toka alipokuwa anaumwa mpaka mauti yanamfika, maneno yake bado naishi nayo mpaka leo, japo si kila mmoja ataona yana umuhimu lakini kwa mtu ambaye nilimpenda yana umuhimu, nitaendelea kupasisha mema aliyonambia kwa wengine.
Thanks a lot Shimba Ya Buyenze
🙏 🙏
Thanks a lot _King🙏🙏🙏🙏 nimefurahi sana hili neno
😅😅😅😅 yanapiga pasi hatari, unaweza jikuta unatetema tu namna pasi zinavyopigwa unashindwa ukabe wapiYakikukamata hayo huchomoki....wanavionjo balaaaa
Nakaribia kufika, tumalizie siku kwa upako kama tulivyoianza😍😍😊🙏🙏🙏.. Neno la Mungu huwa tamu sanaa, ebu wahi tudiscus leo mambo ya before Adam and after Rapture 😍😍😍 nakusubiri kwa hamu zotree
Aendelee kupumzika kwa amani mama yetu.
Hakika.Aendelee kupumzika kwa amani mama yetu.
Ipo siku tutaonana..ila sijui ni lini.