Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
hahahaha.mchungaji alitekwa na kondoo wake. Ila muta si mzm kitambo tu
Mie sitoki kwa wazazi katu

atakuja mtu kukutoa rasmiMie sitoki kwa wazazi katu![]()
Ipi hiyooo?
Hilo ua limwharibu mrembo
Isipokua mmoja tu ambaye ni mimi ndiyo sina😂😂"Ogopa matapeli. Hakuna Mnyaki asiye na kishundu"
SYB 2022![]()
Sawa ntafanyia kazi ushauri wake🙄Kweli lakini
Khaa Tegeta nini tena hapo?? Duh ukuni😂😂🙌Tegeta hiyo
Mimi jirani yake
Tegeta Ukuni
Near petrol station
Mrembo unanichocha wewe😍😍😍
Kwa hiyo kile kishundu cha jana sio chako🤣🤣🤣🤣Isipokua mmoja tu ambaye ni mimi ndiyo sina😂😂
Mimi jumba lilishaanguka kabisa😂
Picha tu ile ilitokea vile, ila sinagaKwa hiyo kile kishundu cha jana sio chako🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 inakuja inakataaHarusi tunayo au hatuna huu mwaka?![]()
Wee kajitako kazuri kabisa very well formed, chiselled to perfection....ukipiga leggings hapo na high heels vidume lazma udenda uwatokePicha tu ile ilitokea vile, ila sinaga
Nishawishi kwa kunionyesha mfano...🤪Hilo ua limwharibu mrembo
Liondoe basi
Nitoe basi lunch ☺☺Mrembo unanichocha wewe😍😍😍
Usijali, hilo mbona rahisi sema wataka kwenda wapi mrembo.Nitoe basi lunch ☺☺
Embu nikuone punguza porojoUsijali, hilo mbona rahisi sema wataka kwenda wapi mrembo.
Sasa unione vipi jamani...wee nae fanya booking ya dinner mwenzio kashawahi lunch hapoEmbu nikuone punguza porojo