Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Kama nilituma voice note, imagine nilijitoa mhanga nikaji record naongea, ujue nilijilipua cause sauti inaweza kutumika ku authenticate au ku verify identity ya mtu, niliishia kupata emoji ๐ณ..Acha kabisaa, Nilikuwa natoa report kazini nikabakia naongea vitu havieleweki havihusiani na kazi hadi nikakata simu ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ kwanza akili ikae mahala pakee Ebu jaribu kumuomba mahondaw shangazi anaweza fanya jambo kwa ajiri yako
We nihadithie tu..


