Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Visimani kuna mambo hata Rebeka alidakwa Kisimani ... nimekumbaka mbali sana enzi za kuchota maji kisimani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nilikuwa nakaa kama moses waje watoto wakali nawapambanie wapate maji haraka
Baba pasta wee hatare sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£!!
 
πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ˜œ
Unaweza hisi utani ila mda naona picha ni mda wa kutoa report ni mda natazama hivi nikashtuka nikabakio eeeh upande wa pili wanaongea mie nipp tu eeeh πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜Š
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Maana duh... Mungu acha aitwe Mungu.. kuna watu nikikutana nao wanuamini Mungu kwasababu ya mie tu kubadirika na bado sijabadirika sana naendelea kubadirika πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
hakika ametenda na atatenda milele daima!
 
Back
Top Bottom