Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kivipi Wii?Mi sipendi mwanaume ambae hawezi kuni control, nitamcntrol yy!
piga chini!
Lango li wazi
Hebu fafanua kidogo
Kivipi Wii?Mi sipendi mwanaume ambae hawezi kuni control, nitamcntrol yy!
piga chini!
Lango li wazi
😅😅😅😅 Yanakuwaga kawaida kwa ambae umetembea na nyavu, ila kwa ambae ujafunga wala kupiga shuti gorini lazima yawe maajabu tuuu alafu nimepitiwa tena nimeshindwa hata kuitunza picha kwenye flame 😅😅😅😅Shukrani sana katibu
Aaah mjomba Naamini haya mambo kwako ni yakawaida sana mjomba!!
Mwenyekiti huwezi nifungia hii PM maana Kula mbele ya watu nimeshindwa ni yamoto sana 🤣 🤣 , nitaenda Kula nyumbanindio shangazi ni kigauni!!
😂😂🤣🤣🤣 mbona nimeshairudia sana tu hii mjomba!!😅😅😅😅 Yanakuwaga kawaida kwa ambae umetembea na nyavu, ila kwa ambae ujafunga wala kupiga shuti gorini lazima yawe maajabu tuuu alafu nimepitiwa tena nimeshindwa hata kuitunza picha kwenye flame 😅😅😅😅
Ameshaniharibia kabisa usiku wangu. Mimi nilijua Jimbo letu hilo kabisaKivipi Wii?
Hebu fafanua kidogo
Basi nitakuwa napitwaga kuna kipindi nakuwaga mzembee sanaa hasa nikiwa na stress😂😂🤣🤣🤣 mbona nimeshairudia sana tu hii mjomba!!
Hizi habari zimenishtua sana 🥺Ameshaniharibia kabisa usiku wangu. Mimi nilijua Jimbo letu hilo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya kuipuliza kwanza katibu! ili usife njaa katibu 😂😂🤣🤣🤣😜😜😜😜🤭🤭Mwenyekiti huwezi nifungia hii PM maana Kula mbele ya watu nimeshindwa ni yamoto sana 🤣 🤣 , nitaenda Kula nyumbani
pole sana mjomba sitiresi sio kitu kizuri kabisa mjomba!!Basi nitakuwa napitwaga kuna kipindi nakuwaga mzembee sanaa hasa nikiwa na stress
😅😅😅😅😅 Nilikatazwaaa na chombo ua fundi kumbe kuna siku ilichungulia Id yangu.. sasa jana ikaanza kunichambaaa inaniambia inaona tu ninavyo jifanya kichaa hukuu 😅😅😅Na mimi niliku mind haujatupia ya obama wakati uliahidi...![]()
Upo mwemyewe au 🥱🥱Leo nipigwe na baridi pande hiziView attachment 2237169
Upo pekee akoLeo nipigwe na baridi pande hiziView attachment 2237169
Nitajaribu Jaribu sema muhudumu kashaondoka na sahani! Daaah😳😳Fanya kuipuliza kwanza katibu! ili usife njaa katibu😂😂😂🤣🤣🤣😜😜😜😜🤭🤭
Hizi kama pigo za kihome home flaniii hivi 😅😅😅 unaenda kisimani hivyo 🔥🔥🔥 acha niache ku imagine nipite zangu kushoto 🚶♂️🚶♂️🚶♂️pole sana mjomba sitiresi sio kitu kizuri kabisa mjomba!!
Itabidi uagize upya katibu!!Nitajaribu Jaribu sema muhudumu kashaondoka na sahani! Daaah😳😳
Kaka unataka umuibukieUpo mwemyewe au 🥱🥱
Mbona kisimani mjomba🙃🙃🙃🤔🤔🤔!Hizi kama pigo za kihome home flaniii hivi 😅😅😅 unaenda kisimani hivyo 🔥🔥🔥 acha niache ku imagine nipite zangu kushoto 🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Wapi hii? Ni pazuri kweri kweri.Leo nipigwe na baridi pande hiziView attachment 2237169